Thursday, May 11, 2017

CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TAWLA CHATIMIZA MIAKA 27 KATIKA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA NCHINI

Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka akikata keki pamoja na baadhi ya wanachama wa chama hicho katika hafla fupi ya chama hicho kutimiza miaka 27 tamgu kilipoanzanishwa baada ya kusajiliwa rasmi mwaka 1990 na kuanza kazi zake rasmi hapa nchini. 

Chama hicho kimefanikiwa kuanzisha matawi yake katika mikoa ya Tanga, Dodoma, Arusha, Mwanza pamoja na Dar es salaam na chama hicho kimeweza kusaidia mamilioni ya watanzania hasa wanawake katika masuala ya msaada wa kisheria katika unyanyasaji wa kijinsia na migogoro ya kifamili hasa ndoa na masuala mengine, hafla hiyo iliyofanyika ofisi za taasisi hiyo Ilala Bungoni
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka akimlisha keki Mwanachama wa chama hicho Bi Mariam Mvano wakati wa hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka akilishwa keki na Mwanachama wa TAWLA Mariam Mvano wakati wa hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka akimlisha keki mwanachama wa TAWLA Judith Kadege.
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka akilisha keki mwanachama wa chama hicho Chaya Mlaki wakati wa hafla hiyo iliyofanyika ofisi za taasisi hiyo Ilala Bungoni
 
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Wanasheria wanawake TAWLA wakiwa katika hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka akizungumza na wanachama hao.
 
Mmoja wa wanachama wa Chama cha Wanasheria Wanawake Bi. Judith Kadege akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye ofifi za taasisi hiyo Ilala Bungoni.
Baadhi ya wanachama wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka wakati alipokuwa akizungumza nao katika hafla hiyo.
Mmoja wa wanachama wa Chama cha Wanasheria Wanawake Bi. Judith Kadege akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye ofifi za taasisi hiyo Ilala Bungoni.
Baadhi ya wanachama wa chama hicho wakiwa katika hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya hafla hiyo.
 

Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania TAWLA Bi. Athanasia Soka akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya hafla hiyo.

No comments: