Sunday, February 12, 2017

WAZIRI MKUU, MAWAZIRI KUONGOZA MAPAMBANO DAWA ZA KULEVYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimvalisha cheo kipya aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Uhamiaji Mkoani Kilimanjaro Dkt. Anna Peter Makakala kabla ya kumuapisha kuwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Ikulu Jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Uhamiaji Mkoani Kilimanjaro Dkt. Anna Peter Makakala kuwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Ikulu Jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini hati ya kiapo baada ya kumuapisha Dkt. Anna Peter Makakala kuwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Ikulu Jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi vitendea kazi Dkt. Anna Peter Makakala baada ya kumuapisha kuwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Ikulu Jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Bw.Rogers William Sianga kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Ikulu Jijini Dar es Salaam. 
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Bw.Rogers William Sianga akisaini hati ya kiapo baada ya kuapishwa Ikulu Jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini hati ya kiapo baada ya kumuapisha Bw.Rogers William Sianga kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Ikulu Jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi vitendea kazi Bw.Rogers William Sianga baada ya kumuapisha kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Ikulu Jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Omar Yusuf Mzee baada ya kumteua kuwa balozi Leo Jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Joseph Sokoine baada ya kumteua kuwa balozi Leo Jijini Dar es Salaam. 
Viongozi walioapishwa leo Ikulu Jijini Dar es Salaam wakila kiapo cha Maadili katika utumishu wa umma kilichoongozwa na Kamishna wa Maadili katika Sekretariat ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Mhe. Jaji Harold Nsekela 
Kamishna wa Maadili katika Sekretariat ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Mhe. Jaji Harold Nsekela akiongoza kiapo kwa mabalozi na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya waliopishwa leo Ikulu Jijini Dar es Salaam. 
Mabalozi na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya waliopishwa leo Ikulu Jijini Dar es Salaam wakisaini kiapo cha Maadili katika utumishu wa umma. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Hafla ya kuwaapisha Mabalozi na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya waliopishwa leo Ikulu Jijini Dar es Salaam 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa wakati wa Hafla ya kuwaapisha Mabalozi na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya waliopishwa leo Ikulu Jijini Dar es Salaam
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akiongea na viongozi mbalimbali wa serikali waliohudhuria halfa ya uapishwaji wa Mabalozi na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya ambapo alisisitiza umuhimu wa viongozi wa serikali pamoja na wananchi kuungana kwa pamoja katika mapambano dhidi ya biashara haramu ya Dawa za kulevya. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na viongozi mbalimbali wa serikali waliohudhuria halfa ya uapishwaji wa Mabalozi na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya ambapo aliwataka watanzania na viongozi wenye mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya kufanya hivyo ili kuweza kuinusuru Tanzania dhidi ya uingizwaji na uendeleaji wa biashara haramu ya dawa za kulevya. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mawaziri waliohudhuria hafla ya uapishaji wa Mabalozi na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya leo Ikulu Jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha pa pamoja na Mabalozi na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya walioapishwa leo Jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri na Makatibu Wakuu baada ya kuwaapisha Mabalozi na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Ikulu Jijini Dar es Salaam.

PICHA NA HASSAN SILAYO 

No comments: