Sunday, February 26, 2017

SIMBA YAIBANDUA YANGA 2-1


Wachezaji wa Simba wakishangilia mara baada ya kuichapa Yanga bao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom.
 Kiungo wa kati wa Yanya Haruna Niyonzima akijaribu kumtoka beki wa SimbaJanvier Bukungu
 Mshambuliaji wa Simba Laudit Mavugo akiweka sawa mpira mbele ya beki wa kati wa Yanga Kelvin Yondan
 Golkipa wa Yanga Deogratius Munishi akiokoampira uliopigwa na mshambualiaji wa Simba Laudit Mavugo
 Kiungo wa Simba Said Ndemla akiwania mpira na kiuongo wa kati wa Yanga,Justin Zulu (Mkata umeme)
 Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib akimtoka beki wa Yanga Mwinyi Haji katika mchezo huo ambao Simba imeshinda bao 2-1
 Wachezaji wa Simba wakishangilia bao la kusawadhisha liliwekwa kimyani na mshambuliaji Laudit Mavugo
 Mshambuliaji wa Simba Laudit Mavugo akipiga mpira mbele ya beki wa Yanga , Andrew Vicent katika mchezo ambao Simba waliweza kutoka na ushindi wa bao 2-1
 Mshambuliaji wa Yanga , Obrey Chirwa akiwania mpira mbele ya kiungo wa Simba Said Ndemla
 Mshambuliaji wa Simba Laudit Mavugo akiweka swa mpira mbele ya beki wa Yanga Mwinyi haji
 Wachezaji wa Simba wakiwa wamembeba winga wa kulia wa timu hiyo Shiza Kichuya mara baada ya kuipatia Simba bao la ushindi katika mchezo wake wa ligi kuu ya Viodacom Tanzania
 Mameneja wa timu ya Simba wakiwa wamembeba mchezaji Shiza kichuya mara baada ya kuipatia timu hiyo bao la kuongoza katika mchezo wake dhidi ya Yanga
 Mashabiki wa Yanga wakiwa wamekaa kwa huzuni mara baada ya timu yao kupigwa bao 2-1 na timu ya Simba katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania.
 Mashabiki wa timu ya Simba wakishangilia kwa furaha mara baada ya timu yao kuibuka na ushindi wa bao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacoma Tanzania
 Askari wa jeshi la Zimamoto wakiwa wamembeba mtu mabaye amezimia kwa furaha mara baada ya Simba kushinda
 Mshambuliaji wa Simba Laudit Mavugo akimtoka beki wa kati wa Yanga Kelvin Yondani.

 Waziri wa Habari Sanaa, Michezo na Utamaduni , Nape Nnauye akisalimiana na Nahodha wa Yanga Haruna Niyonzima.
 Waziri wa Habari Sanaa, Michezo na Utamaduni , Nape Nnauye akisalimiana na Nahodha wa Simba Abdi Banda

No comments: