Tuesday, January 31, 2017

SIMUTV: HABARI NA YALIYOJIRI BUNGENI LEO January 31, 2017.

Je, ni lini serikali itaipatia  vifaa tiba hospitali ya wilaya ya Handeni ? Naibu waziri  TAMISEMI, Selemani Jafo anatoa ufafanuzi. https://youtu.be/qgDw0SmDCu4

Ni lini serikali itafanikiwa kumaliza ujenzi wa nyumba za walimu hasa vijijini? Swali kutoka kwake  mbunge Juliana Shonza. https://youtu.be/5keDsCfzmyQ

Je, ni lini serikali itapunguza tatizo la huduma za afya katika wilaya ya Simanjiro? Hapa naibu waziri TAMISEMI, Selemani Jafo anafafanua; https://youtu.be/Zod_cSdfxPc

Serikali ina fikiria nini kuhusu vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa na vikosi vya SMZ visiwani Zanzibar kwa raia ? Haya hapa ni majibu ya serikali; https://youtu.be/wj5Xx5r85zY

Je, Serikali imeweka mkakati gani katika kukomesha suala la ubakaji kwa watoto wadogo? Swali kutoka kwa mbunge Lita Kabati. https://youtu.be/CJDSb8zCraY

Serikali ina mpango gani wa kupunguza bei ya maji kwa mkoa wa Shinyanga?  Swali kutoka wa mbunge Salome Makamba; https://youtu.be/soHfcEF3leI

Serikali ina mkakati gani wa kuhakikisha mto Ruaha unatiririsha maji katika bwawa la Mtera kwa mwaka mzima? Haya hapa ni majibu ya serikali. https://youtu.be/ZxumBb-4iro?t=1

Kwanini serikali isinunue miundombinu ya umeme kwa wananchi ili kuwasaidia kupata huduma ya umeme kiurahisi? Haya hapa majibu ya serikali; https://youtu.be/be7VvmLIsgw

Ni lini serikali itajenga kiwanda cha Tumbaku na kusindika asali mkoani Tabora?  Haya hapa ni majibu ya serikali. https://youtu.be/-MZQc1zhIbA?t=5

Fahamu kauli ya Spika wa Bunge Job Ndugai  kuhusu  nyumba nyumba zinazojengwa kwa ajili ya walimu, https://youtu.be/RKYcqc9hCLE 

NEWS

Makamu wa pili wa Rais Balozi Seif Iddi awataka wafanyakazi wa hospitali ya Abdallah Mzee kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa wananchi; https://youtu.be/kdJmSugxNBg

Serikali ya Magharibi A yakifunga kiwanda cha usindikizaji ngozi kwa kutiririsha maji machafu katika vyanzo vya maji safi na salama; https://youtu.be/0TmCHjiW0nU

Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema umefika wakati wa kuwa na watumishi wenye uweledi katika halmashauri zote nchini; https://youtu.be/gdtXyIb-C-U

Walimu wameshauriwa kutoa ushirikiano kwa wazazi katika kuchunguza juu ya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia; https://youtu.be/BKk_xdUL0wk

Rais Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wakati wa vikao vya nchi wanachama wa AU; https://youtu.be/tALQ7wK9beo

Mwenyekiti wa CCM Mbeya Mjini anusurika kifo baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana wilayani Kyela; https://youtu.be/4aCxFZKijJg

Viongozi wa taasisi mbalimbali mkoani Dodoma wametakiwa kuwashirikisha wananchi katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo; https://youtu.be/He3bX2JsfeE

No comments: