Sunday, January 29, 2017

JUMUIA YA WAZAZI WILAYA YA KINONDONI YAADHIMISHA MIAKA 40 YA CCM KWA KUFANYA USAFI NA KUTOA VFAA KWENYE ZAHANATI YA KIBAMBA, DAR ES SALAAM

Jumuia ya Wazazi wilaya ya Kinondoni, jana, Januari 28, 2017, imeadhimisha miaka 40 ya kuzaliwa kwa CCM, kwa kufanya usafi na kutoa vifaa mbalimbali kweye zahanati ya Kibamba, Ubugo jijini Dar es Saaam. Pichani, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi ya CCM, wilaya hiyo, Lucas Mgonja (wapili kulia), akikabidhi ufagio kwa Mganga Mfawidhi wa Zahanati hiyo, Mwahawa Kiroboto. Kushoto ni Muuguzi Mfawishi wa Zahanati hiyo, Jesca Mpolanigwa.
Lucas Mgonja akikabidhi sabuni
Lucas Mgonja akikabidhi kifaa cha kupima homa 
Lucas akikabidhi ndoo
Mgonja akikabidhi sabuni ya kufanyia usafi
Mganga Mfawidhi akitoa neno la shukurani baada ya kukabidhiwa vifaa na Mgonja
Mgonja akizungumza na Mwandishi wa habari wa Clouds Tv, Salum Mwinyimkuu, baada ya kukabidhi vifaa
Mgonja (Wapili kushoto) akiongoza badhi ya viongozi wa Jumuia ya wazazi wilaya ya Kinondoni kukata miti na kufyeka nyasi kwenye Zahanati hiyo
Badhi ya viongozi wa Jumuia ya wazazi wilaya ya Kinondoni wakishiriki kufanya usafi kwenye Zahanati hiyo
Mwanahawa na Mpolanigwa wakifanya usafi kwenye Zahanati hiyo
Baadhi ya viongozi wa Jumuia ya wazazi Kinondoni wakifanya usafi kwenye Zahanati hiyo
Mgonja akizungumza kabla ya yeye na ujumbe wake kuondoka kwenye Zahanati hiyo
Baadhi ya viongozi na wanachama wa CCM kutoka Jumuia ya Wazazi wilaya ya Kinodoni wakimsikiliza Mgonja kwenye Zahanati hiyo kabla ya kuondoka
Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Stanley Mkandawile akimpongeza Mwenyekiti wa Jumuia ya wazazi Jimbo la Ubungo, Justine Sangu, baada ya kufanya usafi na kutoa vifaa kwenye zahanati hiyo
Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Stanley Mkandawile akimpongeza Mwenyekiti wa Jumuia ya wazazi Wilaya ya Kinondoni, Lucas Mgonja, baada ya kufanya usafi na kutoa vifaa kwenye zahanati hiyo. Picha zote na Bashir Nkoromo).

No comments: