Wednesday, December 21, 2016

Wananchi Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga wapewa elimu kupinga Ukeketaji

Anna Sangai (mbele) programu programu kutoka TGNP Mtandao akiwasilisha mada katika mkutano na wananchi wa Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam kutoa elimu juu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo vile vya ukeketaji ambavyo vimekuwa vikifanywa na baadhi ya jamii maeneo hayo. Anna Sangai (mbele) programu programu kutoka TGNP Mtandao akiwasilisha mada katika mkutano na wananchi wa Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam kutoa elimu juu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo vile vya ukeketaji ambavyo vimekuwa vikifanywa na baadhi ya jamii maeneo hayoAnna Sangai (kulia) programu programu kutoka TGNP Mtandao akiwasilisha mada katika mkutano na wananchi wa Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam kutoa elimu juu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo vile vya ukeketaji ambavyo vimekuwa vikifanywa na baadhi ya jamii maeneo hayo. Anna Sangai (kulia) programu programu kutoka TGNP Mtandao akiwasilisha mada katika mkutano na wananchi wa Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam kutoa elimu juu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo vile vya ukeketaji ambavyo vimekuwa vikifanywa na baadhi ya jamii maeneo hayoAnna Sangai (kulia) programu programu kutoka TGNP Mtandao akiwasilisha mada katika mkutano na wananchi wa Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam kutoa elimu juu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo vile vya ukeketaji ambavyo vimekuwa vikifanywa na baadhi ya jamii maeneo hayo. Anna Sangai (kulia) programu programu kutoka TGNP Mtandao akiwasilisha mada katika mkutano na wananchi wa Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam kutoa elimu juu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo vile vya ukeketaji ambavyo vimekuwa vikifanywa na baadhi ya jamii maeneo hayo.Muwasilishaji wa mada, Bi. Agnes Lukanga (kulia mbele) kutoka TGNP Mtandao akizungumza katika mkutano wa wananchi wa Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam kutoa elimu juu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo vile vya ukeketaji ambavyo vimekuwa vikifanywa na baadhi ya jamii maeneo hayo. Muwasilishaji wa mada, Bi. Agnes Lukanga (kulia mbele) kutoka TGNP Mtandao akizungumza katika mkutano wa wananchi wa Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam kutoa elimu juu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo vile vya ukeketaji ambavyo vimekuwa vikifanywa na baadhi ya jamii maeneo hayo.Mmoja wa viongozi wa Dini, Issa Abdullah (mbele) akijadili jambo katika mkutano wa kutoa elimu kwa wananchi kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vikiwemo vile vya ukeketaji. Mkutano huo ulifanyika katika Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam. Mmoja wa viongozi wa Dini, Issa Abdullah (mbele) akijadili jambo katika mkutano wa kutoa elimu kwa wananchi kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vikiwemo vile vya ukeketaji. Mkutano huo ulifanyika katika Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es SalaamMjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Kipunguni, Hija Mzome (mbele-kulia) akiwasisitisha washiriki wa mkutano huo kukubali kubadilika na kuachana na vitendo vya kikatili vilivyopitwa na wakati hasa ukeketaji. Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Kipunguni, Hija Mzome (mbele-kulia) akiwasisitisha washiriki wa mkutano huo kukubali kubadilika na kuachana na vitendo vya kikatili vilivyopitwa na wakati hasa ukeketaji.Baadhi ya washiriki wakiwa katika mkutano wa kutoa elimu kwa wananchi kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vikiwemo vile vya ukeketaji. Mkutano huo ulifanyika katika Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam. Baadhi ya washiriki wakiwa katika mkutano wa kutoa elimu kwa wananchi kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vikiwemo vile vya ukeketaji. Mkutano huo ulifanyika katika Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam.Mjumbe wa Shina namba Saba Majohe, Mohamed Kassim (mbele) akichangia jambo katika mkutano huo wa kutoa elimu kwa wananchi kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vikiwemo vile vya ukeketaji. Mkutano huo ulifanyika katika Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa Shina namba Saba Majohe, Mohamed Kassim (mbele) akichangia jambo katika mkutano huo wa kutoa elimu kwa wananchi kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vikiwemo vile vya ukeketaji. Mkutano huo ulifanyika katika Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es SalaamMmoja wa washiriki wa mkutano huo akichangia katika mkutano wa kutoa elimu kwa wananchi kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vikiwemo vile vya ukeketaji. Mkutano huo ulifanyika katika Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam. Mmoja wa washiriki wa mkutano huo akichangia katika mkutano wa kutoa elimu kwa wananchi kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vikiwemo vile vya ukeketaji. Mkutano huo ulifanyika katika Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam.Mmoja wa washiriki wa mkutano huo akichangia katika mkutano wa kutoa elimu kwa wananchi kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vikiwemo vile vya ukeketaji. Mkutano huo ulifanyika katika Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam. Mmoja wa washiriki wa mkutano huo akichangia katika mkutano wa kutoa elimu kwa wananchi kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vikiwemo vile vya ukeketaji. Mkutano huo ulifanyika katika Kata za Kipunguni, Kivule na Mzinga zote za jijini Dar es Salaam.

No comments: