Friday, December 16, 2016

NAIBU WAZIRI MHE.POSSI ATEMBELEA VITUO NA SHULE ZINAZOHUDUMIA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM LINDI


 Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Shaibu Ndemanga akizungumza wakati wa kikao cha kumkribisha Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi wakati wa ziara yake Mkoani hapo Desemba 15, 2016.
 Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Lindi Bw.Musa Bakari akizungumza changamoto zao kwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi wakati wa ziara yake mkoani Lindi Desemba15, 2016
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akisalimiana na baadhi ya wazee wanaoishi katika kambi ya kulelea wazee ya Rasi Bula mkoani Lindi wakati wa ziara yake kujionea hali halisi ya kituo hicho.
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akiwa katika ziara ya kuangalia mazingira ya Shule ya kulelea watu wenye ulemavu ya Nyangao mkoani Lindi kulia kwake ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Bw.Richard Mponda.
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akizungumza na baadhi ya walimu wa shule ya msingi ya Nyangao alipotembelea kuona hali halisi ya mazingira ya wanafunzi wenye wahitaji maalum Desemba 15, 2016.
  Mwalimu wa wasiona shule ya nyangao Bw.Nassoro Kambona akielezea changamoto wanazokabiliana nazo kazini kwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi (hayupo pichani) wakati wa ziara yake shuleni hapo.
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akijibu hoja za wazee wenye ukoma na mahitaji maalum katika kambi yao ya Nandanga wilayani ruangwa mkoa wa Lindi alipofanya ziara yake Desemba 15, 2016
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akitoa maagizo kwa baadhi ya watendaji wa Serikali wakati ya ziara yake Wilayani Lindi alipotembelea shule na Vituo vya kulelea watu wenye mahitaji maalum.

(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

No comments: