Sunday, October 2, 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA WA DOOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea hospitali ya mkoa wa Dodoma
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa maelekezo ya kuboresha usafi wa mazingira ya hospitali ya Mkoa wa Dodoma wakati alipoitembelea  hospitali hiyo. Kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe. Jenista Mhagama.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa maelekezo ya kuboresha usafi wa mazingira ya hospitali ya Mkoa wa Dodoma wakati alipoitembelea  hospitali hiyo. Kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa hospitali ya mkoa wa Dodoma baada ya kutembelea hospitali hiyo. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma  Mhe. Jordan Rugimbana.
  Baadhi ya watumishi wa hospitali ya mkoa wa Dodoma wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao baada ya kuitembelea hospitali hiyo
  Baadhi ya watumishi wa hospitali ya mkoa wa Dodoma wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao baada ya kuitembelea hospitali hiyo
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimjulia hali Bi. Fatuma Yassin wa Swaswa Dodoma wakati alipotebelea hospitali ya mkoa wa Dodoma. Kushoto kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimjulia hali Bi. Magreth Kapinga  wa Mpwapwa wakati alipotembelea  hospitali ya mkoa wa Dodoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: