Monday, October 24, 2016

MKURUGENZI WA HABARI AWATAKA WADAU WA TASNIA YA HABARI KUTOA MAONI KUHUSU MUSWADA WA HABARI

Mkurugenzi wa Habari, Hassani Abbas (kulia) akizungumza jambo na Mwandishi Mwadamizi wa Gazeti la Jambo Leo, Mashaka Mgeta (kushoto) wakati wa ziara ya kutembelea ofisi za gazeti hilo pamoja na kubadilisha uzoefu wa kazi leo Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mhariri Mtendaji Anicetus Mwesa.

Mkurugenzi wa Habari, Hassani Abbas (kushoto), akizungumza na Wahariri Waandamizi wa Gazeti la Jambo Leo, Anicetus Mwesa (katikati), Exuper Kachenje na Kizito Noya wakati wa ziara ya kutembelea ofisi za gazeti hilo pamoja na kubadilisha uzoefu wa kazi leo Jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Habari, Hassani Abbas (kushoto), akizungumza na Wahariri Waandamizi wa Gazeti la Jambo Leo, Joseph Lugendo (kushoto), na Joseph Kulngwa wakati wa ziara ya kutembelea ofisi za gazeti pamoja na kubadilisha uzoefu wa kazi leo Jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Habari, Hassan Abbas (katikati) akizungumza na Bodi ya Uhariri ya gazeti la Jambo Leo wakati wa ziara wakati wa ziara ya kutembelea ofisi za gazeti hilo pamoja na kubadilisha uzoefu wa kazi leo Jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Habari, Hassani Abbas (kulia) akipokelewa na Kaimu Mhariri Mkuu wa gazeti la Majira, Eckland Mwaffisi wakati wa ziara ya kutembelea ofisi za gazeti hilo pamoja na kubadilisha uzoefu wa kazi leo Jijini Dar es Salaam.

Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Majira, Imma Mbughuni akimkaribisha Mkurugenzi wa Habari, Hassan Abbas wakati wa ziara ya kutembelea ofisi za gazeti hilo pamoja na kubadilisha uzoefu wa kazi leo Jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Habari, Hassan Abbas akizungumza na watendaji wakuu wa gazeti la Majira, akiwemo Mhariri Mtendaji, Imma Mbunghuni wakati wa ziara ya kutembelea ofisi za gazeti hilo pamoja na kubadilisha uzoefu wa kazi leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari Mwandamizi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Jonas Kamaleki.

Mkurugenzi wa Habari, Hassan Abbas (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wakuu wa gazeti la Majira, Imma Mbughuni (kulia) na Kaimu Meneja Mkuu wa kampuni ya Bussines Times Ltd Sophia Mshangama (kushoto).

…………………………..

No comments: