Thursday, September 22, 2016

Waziri Jenista afanya ziara wilaya ya Kyerwa.

 Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akimpa pole mwalimu Anna Mollel wa shule ya msingi Ileega ambaye nyumba yake imebomoka kutokana na tetemeko la ardhi.
kye8
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akikagua nyumba ya mwalimu Anna Mollel wa shule ya msingi Ileega ambaye nyumba yake imebomoka kutokana na tetemeko la ardhi.
kye9
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akiongea na baadhi ya watoto wilayani Kyerwa wakati akiwa kwenye ziara kujionea madhara ya tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera.
kye10
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akiongea na watoto wakati wa ziara ya kujionea maeneo yaliyoathirika na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera.
kye12
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akiongea na mkulima wa viazi wilayani Kyerwa Shakiru Issa wakati wa ziara ya kujionea maeneo yaliyoathirika na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera.Picha na Eleuteri Mangi, MAELEZO, Kyerwa, Kagera.

kye1
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Kanali Mstaafu Shaban Lissu mara baada ya kuwasili wilayani humo kujionea madhara ya tetemeko la ardhi lililotokea mkoani humo.
kye2
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akioneshwa ramani ya wilaya ya Kyerwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Kanali Mstaafu Shaban Lissu   inaonesha maeneo yaliyoathiriwa na tetemeko la ardhi. Wa kwanza kulia ni Mbunge wa Kyerwa Innocent Bilakwate.
kye4
Diwani wa Kata ya Itera (CHADEMA) akimueleza Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama ukame ulivyoathiri mimea ya kahawa na migomba katika kata hiyo leo wilayani humo.
kye5
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akimpa maagizo Mkuu wa Wilaya Kanali Mstaafu Shaban Lissu   kuhusu kuanzisha kampeni ya kupanda mazao yanayokomaa kwa muda mfupi wakati alipotembelea maeneo yaliyoathirika na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera.
kye6
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akiongea na baadhi ya wananchi wa wilaya ya Kyerwa alipotembelea maeneo yaliyoathirika na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera.
 

No comments: