Monday, August 8, 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFUNGA MAONYESHO YA NANENANE MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary (kulia kwake) wakikagua vipando vya kabeji wakati walipotembelea banda la Magereza kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya Agosti8, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakitazama jiko banifu linalotumia gesi ya pumba wakati alipotembelea banda la Magereza kwenye maonyesho ya Wakulima Nanenane katika uwanja wa John Mwakakangale jijini Mbeya Agosti 8, 2016. (Picha na Ofiasi ya Waziri Mkuu) 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananachi wakati lipotembelea maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya Agosti 8, 2016. Kushoto kwake ni mkewe Mary
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia picha yake iliyochorwa na kutolewa kwake na Chama cha Wandishi wa Habari za Utalii na Uwekezaji Tanzania mkoani Mbeya (TAJATI) katika kilele cha sherehe za Maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwaja wa wa John Mwakangale jijini Mbeya Agost 8, 2016. Watatu kulia kwake ni mkewe Mary na wapili kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla
Baadhi ya viongozi waliohudhuria kwenye kilele cha Maonyesho ya Wakulima Nanenane katika uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia Agosti 8, 2016.
Baadhi ya viongozi waliohudhuria kwenye kilele cha Maonyesho ya Wakulima Nanenane katika uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia Agosti 8, 2016.
Baadhi ya viongozi waliohudhuria kwenye kilele cha Maonyesho ya Wakulima Nanenane katika uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia Agosti 8, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia) wakikagua vipando vya alizeti katika eneo la banda la Chuo cha Kilimo cha Uyole kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya Agosti 8, 2016. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha karoti zilizostawi vizuri wkati alipotembelea banda la Mapanda Mkoani Katavi katika maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya Agosti 8, 2016. Kulia kwake ni mkewe Mary 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama vitunguu vilivyopandwa kwenye gunia namna ya kilimo ambacho ni muafaka kwa watu waishio mijini hasa magorofani. Alikuwa akitembela maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwanja wa Maonyesho wa John Mwakangale wa jijini Mbeya
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakipata maelezo kuhusu jiko banifu kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Nkansi, Saidi Mtanda (kushoto) kuhusu jiko banifu lililobuniwa na kutengenezwa na Samuel Msigale (watatu kulia) ambaye ni mjasiliamali kutoka Nkansi mkoani Rukwa. Alikuwa kitembelea maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwanja wa maonyesho ya wakulima Nanenane wa John Mwakangale Agosti 8, 2016.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na askari magereza wa mkoa wa Mbeya baada ya kutembelea banda lao kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya Agosti 8, 2016. Kulia ni Mkuu wa Magereza mkoa wa Mbeya Julius Sang’unda
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiwa katika picha ya pamoja na vijana wa kujitolea kutoka Uingereza ambao Agosti 8, 2016 walitembelea maonyesho ya wakulima Nannane kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya. (Picha na Ofisi ya wairi Mkuu)

No comments: