Wednesday, July 6, 2016

SWALA YA ED-EL-FITR ILIVYOFANYIKA VIWANJA VYA MWEMBE YANGA JIJINI DAR ES SALAAM LEO ASUBUHI

Sheikh Abdulkadir Mohamed akiongoza swala ya Ed- El- Fitr iliyofanyika Viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi.
Waumini wa dini ya kiislam wakiwa kwenye swala hiyo.

Mratibu wa swala hiyo ya Ed El-Fitr, Sheikh Othman Abdallah Dishi (kulia), akizungumza katika swala hiyo.
Watoto wakishiriki swala hiyo.
Sheikh Zaki akiwasalimia waumini wenzake waliokuwepo kwenye swala hiyo.
Ibada ikiendelea.
Swala ikifanyika katika viwanja hivyo vya Mwembe Yanga.
Sheikh Abdulkadir Mohamed akiongoza swala ya Ed El- Fitr.
Waumini wa dini ya kiislam wakiswali kuhitimisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan
Waumini wa dini ya Kiislam wakiswali kwa unyenyekevu mkubwa katika swala hiyo.

No comments: