Monday, July 4, 2016

BENKI YA NBC ILIVYOWAANDALIA WATEJA WAKE FUTARI MIKOA MBALIMBALI NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MFUNGO WA RAMADHANI.

 Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Singida, Saidi Amanzi akikabidhi kitabu kwa Mwenyekiti wa BAKWATA Singida, Sheikh Hamis Mohamed Kituke (kulia) wakati wa  hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya NBC kwa wateja wake  mkoani Singida hivi karibuni. Kushoto ni Mkuu wa Huduma za Kibenki zinazofuata kanuni na misngi ya kiislamu (Islamic Banking)  wa Benki ya NBC, Yassir Masoud.
 Mkuu wa Huduma za Kibenki zinazofuata kanuni na misngi ya kiislamu (Islamic Banking)  wa Benki ya NBC, Yassir Masoud (kushoto), akizungumza na baadhi ya wateja wa benki hiyo waliyohudhuria hafla ya futari waliyoiandaa mjini Dodoma hivi karibuni.
 Meneja Uendelezaji wa Biashara wa Benki ya NBC, Eddie Mhina (kulia), akizungumza na baadhi ya wateja wa benki hiyo katika hafla ya futari walitowaandalia wateja wao wa mjini Zanzibar hivi karibuni.
 Mkuu wa Huduma za Kibenki zinazofuata kanuni na misngi ya kiislamu (Islamic Banking)  wa Benki ya NBC, Yassir Masoud (kulia), akisalimiana na  Sheikh wa Mkoa wa Mtwara na Naibu Kadhi wa Mtwara, Nurdin Mangochi katika hafla ya  futari waliyoandaa kwa wateja wao mkoani humo hivi karibuni.
 Baadhi ya wateja wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mjini Tanga,  wakishirki mlo wa futari ulioandaliwa na benki hiyo mkoani Tanga hivi karibuni.
 Mkuu wa Huduma za Kibenki zinazofuata kanuni na misngi ya kiislamu (Islamic Banking)  wa Benki ya NBC, Yassir Masoud akisalimiana na Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Morogoro, Jacob Ole Mameo (kulia),  katika hafla ya  futari waliyoandaa kwa wateja wao mkoani Morogoro hivi karibuni.
 Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania, James Kinyanyi (katikati), Mkuu wa Huduma Rejereja za Kibenki wa benki hiyo, Musa Jallow (kushoto), wakizungumza na mmoja wa wateja wa NBC, Yasser Yusuf (kulia),  katika futari waliyoiandaa kwa wateja wa Jiji la Dar es Salaam hivi karibuni.

No comments: