Tuesday, May 24, 2016

MAKAMU WA RAIS, SAMIA SULUHU AZINDUA KAMPENI YA TAKUKURU YA 'LONGA NASI' JIJINI DAR LEO


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia kwenye uzinduzi wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za watu wanaotoa rushwa au kupokea rushwa kwaajili ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113 unayoweza kupiga na kutuma sms za kawaida  Uzinduzi huo umefanyika leo  katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Tehama TAKUKURU, Neema  Mwalyelye akitoa maelekezo kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipotembelea kwenye  banda la kitengo cha Tehama wakati wa uzinduzi wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za watu wanaotoa rushwa au kupokea rushwa iliyofanyika katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es Salaam leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kamba kuashiria uzinduzi wa gari la matangazo ya Kampeni ya kupambana na Rushwa ya LONGA NASI kwa kupiga namba 113 na kutuma kutuma sms kwenda namba 113 ili kutoa taarifa ya kutoa au kupokea Rushwa kwa TAKUKURU.

Naibu Mkurugenzi wa elimu kwa umma TAKUKURU, Stela mpanju akizungumza  kabla ya kuzindua wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113 kupiga au kutuma sms ya kawaida bila gharama yeyote. Uzinduzi huo umefanyika leo katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valontino Mlowola akizungumza kabla ya kuzindua wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113 kupiga au kutuma sms ya kawaida bila gharama yeyote. Uzinduzi huo umefanyika leo katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  Angela Kairuki akizungumza kabla ya kuzindua wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113 kupiga au kutuma sms ya kawaida bila gharama yeyote. Uzinduzi huo umefanyika leo katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.
baadhi ya wananchi na wafanyakazi wa TAKUKURU wakiwa katika uzinduzi wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113 kupiga au kutuma sms ya kawaida bila gharama yeyote. Uzinduzi huo umefanyika leo katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.
Yamoto band wakitumbuiza katika uzinduzi wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113 kupiga au kutuma sms ya kawaida bila gharama yeyote. Uzinduzi huo umefanyika leo katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.
Mwanamziki wa Kizazi kipya, Kala Jelemaya akitumbuiza katika  uzinduzi wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113 kupiga au kutuma sms ya kawaida bila gharama yeyote. Uzinduzi huo umefanyika leo katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.
Wanakikundi cha Msimamo wakitumbiza katika  uzinduzi wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113 kupiga au kutuma sms ya kawaida bila gharama yeyote. Uzinduzi huo umefanyika leo katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  Angela Kairuki akipata maelekezo alipotembelea katika banda la Tehama la TAKUKURU katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es Salaam leo.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  Angela Kairuki mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es Salaam leo katika uzinduzi wa kampeni ya kupambana na Rushwa kwa kutuma sms a kupiga simu TAKUKURU.
Picha na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.

No comments: