Tuesday, April 26, 2016

RC RUGIMBANA AONGOZA KONGAMANO LA MIAKA 52 YA MUUNGANO UDOM

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Lugimbana akizungumza na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM -UDOMASA), wakati wa mdahalo wa miaka 52 ya Muungano uliofanyika katika Ukumbi wa Chimwaga  uliopo UDOM leo. Kulia ni Makamu Mkuu wa Chuo  hicho,  Professa Idrissa Kikula. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mwenyekiti wa Jmuiya ya Wanataaluma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOMASA),  Mhadhiri Msaidizi, Edson Baradyana akitoa shukurani kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Lukimbana kwa kukubali kufungua kongamano hilo.
 Baadhi ya wanachuo na wanataaluma wakishiriki kwenye kongamano hilo la miaka 52 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

 Jopo la wawezeshaji wa kongamano hilo





 RC Rugimbana akizungumza jambo na Makamu Mkuu wa Chuo cha UDOM, Kikula kabla ya kuondoka. Kushoto ni Mwenyekiti wa Udomasa, Paradyana.
 Rugimbana akiagana na wahadhiri wa Udom
 Rugimbana akiteta jambo na Profesa Kikula
 Wakiwa katika picha ya kumbukumbu

 Mhadhili wa UDOM, Profesa Davis Mwanfupe akitoa mhadharakuhusu umuhimu wa wanataaluma kuuenzi Muungano


No comments: