Sunday, April 17, 2016

OLE SENDEKA ANOGESHA SHEREHE ZA DIWANI WA KATA YA ENGARENAIBOR LONGIDO MKOANI ARUSHA

Msemaji wa CCM na Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka akisaini kitabu cha Wageni alipopita Ofisi ya CCM mkoa wa Arusha akiwanjiani kwnda wilayani Longido akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo jana. Wapili kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Lekule Laiza na kulia ni Katibu Mwenezi wa mkoa huo, Shabani Mdoe
Katibu Mwenezi wa mkoa wa Arusha Shabani Mdoe akitambulisha wageni, Msemaji wa CCM na Mjumbe wa NEC, Ole Sendeka alipofika Ofisi ya CCm mkoa wa Arusha akiwa njiani kwenda wilayani Longido mkoani humo jana akiwa katika ziara ya kikazi
Msemaji wa CCM Ole Sendeka akizungumza na viongozi wa CCM mkoa wa Arusha alipofika Ofisi ya CCM mkoani huni humo akiwa njiani kwenda wilayani Longido akiwa katika ziara ya kikazi

Vijana wa bodaboda wakimsalimia Msemaji wa CCM, Ole Sendeka wakati wa mapokezi akiwa njiani kwenda wilayani Longido mkoani Arusha kikazi. Kushoto ni wenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Lekule Laiza
Msafara wa Msemaji wa CCM Ole Sendeka ukienda wilayani Longido mkoani Arusha
Hiyo Ndiyo Longido
Vijana wa Bodaboda wakiongoza msafara wa Msemaji wa CCM, Ole Sendeka ulipokuwa njiani kwenda Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha 
Msemaji wa CCM Ole Sendeka akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Longido Ernest Kahindi, alipofika Ofisi ya CCm ya wilaya hiyo akiwa njiani kwenda Kata ya Engarenaibor akiwa katika ziara ya kikazi
Mwanannchi wa Longido
Msemaji wa CCM Ole Sendeka akienda katika Ofisi ya CCM wilaya ya Longido mkoani Arusha
Msemaji wa CCM, Ole sendeka akisaini kitabu cha wageni alipowasili Ofisi ya CCM wilaya ya Longido mkoani Arusha jana
Swaga za vijana wa Longido
Msemaji wa CCM, Ole Sendeka akiwa na kinamama wa Longido mkoani Arusha kwenye Ofisi ya CCM ya Longido
Msemaji wa CCM, Ole Sendeka akiwa na kinamama wa Longido mkoani Arusha kwenye Ofisi ya CCM ya Longido
Vijana wa bodaboda wakiongoza msafara wa Msemaji wa CCM Ole Sendeka kwenda Kata ya Engarenaibor
Kina mama wakimfurahia Msemaji wa CCM Ole Sendeka wakati msafara wake ukipita mitaani ulipowasili Kata ya Engarenaibor wilayani simanjiro mkoani Arusha
Mgambo akielekeza msafara wa Msemaji wa CCM Ole sendeka kwenda kunakohusika katika Kata ya engarenaibor, Longido mkoani Arusha
Wakazi wa Kata ya Engarenaibor wakimpokea wa burudani Msemaji wa CCM Ole Sendeka alipowasili katika kata ya Engarenaibor akiwa katika ziara ya kikazi jana
Msemaji wa CCM Ole Sendeka akiwa na wenyeji baada ya kuwasili Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha akiwa katika ziara ya kikazi jana
Dada wa Kimasai akilia kutekeleza moja ya mila za kupokea mgeni muhimu, Msemaji wa CCM Ole Sendeka alipofika katika Kata ya Engarenaibor wilayani Longido akiwa katika ziara ya kikazi
Wenyeji wa Jamii ya Kimasai wakiwa wamejipanga kumpokea Ole Sendeka kwenye eneo la sherehe katika kata ya Engarenaibor
Msemaji wa CCM, Ole sendeka akisalimiana na baadhi ya viongozi alipowasili kwenye uwanja wa sherehe, katika Kata ya Engarenaibor wilayani Longodo mkoani arusha
Ole sendeka akimtia baraka kimila mwari wa Kimasai alipowasili kwenye uwanja wa sherehe katika Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha
Msemaji wa CCM, Ole Sendeka akiwasalimia wananchi alipowasili katika Kata ya Engarenaibor kushiriki sherehe za kumpongeza Diwani wa kata hiyo Peter Ndereko, jana
Msemaji wa CCM, Ole Sendeka akisaini kitabu chawageni baada ya kuwasili kwenye eneo la sherehe ua kumpongeza diwani wa Kata ya Engarenaibor Peter Ndereko (kushoto)
Mjumbe wa NEC, ambaye pia ni Oisa mwandamizi katika Idara ya Itikadi na Uenezi Makao makuu ya CCM, Kilumbe Ng'enda akiwa na Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Sharusha Shaban Mdoe wakati wa sherehe ya kumpongeza Diwani wa Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha jana
Mwinjilisti akiiimba wimbo maalum wa makaribisho, Msemaji wa CCM Ole sendeka alipowasili kwenye sherehe hizo,katika Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani arusha
Wananchi wakiwa wamesheheni uwanjani wakati wa sherehe hizo za kumpongeza Diwani wa Kata ya Engarenaibor 
Mchungaji akifanya maombi wakati wa sherehe za kumpongeza diwani wa Kata ya Engarenaibor wilayani Longido zilizohudhuriwa na Msemaji wa CCM Ole Sendeka jana
Msemaji wa CCM Ole Sendeka akifanyiwa maombi maalum wakati wa sherehe za kumpongeza Diwani wa Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha jana. Pamoja naye ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Lekule Laiza
Msemaji wa CCM Ole Sendeka akifanyiwa maombi maalum wakati wa sherehe za kumpongeza Diwani wa Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha jana. Pamoja naye ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Lekule Laiza
Mkuu wa wilaya ya Longido mkoani Arusha Ernest Kahindi akizungumza wakati wa sherehe za kumpongeza Diwani wa Kata ya Engarenaibor 
Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Arusha Shabani Mdoe akitoa utambulisho wakati wa sherehe za kumpongeza Diwani wa Kata ya Engarenaibor, Peter Ndereko zilizofanyika jana katika kata hiyo
Vijana wa Kimasai wakionyesha umahiri wao wakati wa sherehe za kumpongeza Diwani wa Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha zilzofanyika jana
Mjumbe wa NEC ambaye pia ni Ofisa mwandamizi katika Idara ya Itikadi na Uenezi makao Makuu ya CCM akimtuza Naanyu Mollel baada ya kufurahishwa na uimbaji wake wakati wa sherehe za kumpongeza Diwani wa Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha
Msemaji wa CCM, Ole Sendeka akiwa na Naanyu Mollel baada ya kufurahishwa na uimbaji wake wakati wa sherehe za kumpongeza Diwani wa Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha
Msemaji wa CCM Ole Sendeka akimtawaza Diwani wa Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha, Peter Ndereko kuwa Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM wa Kata hiyo, wakati wa sherehe za kumpongeza diwani huyo jana

Diwani wa Kata ya Engarenaibor Peter Ndreko akionyesha zana alipokabidhiwa na Msemaji wa CCM Ole Sendeka baada ya kumtawaza kuwa Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM wa Kata hiyo jana. Katikati ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Lekule Laizer

No comments: