Thursday, March 3, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFANYA ZIARA BARIADI NA KUZINDUA BWAWA NA OFISI YA CCM.



 Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akisalimiana  na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge baada ya kuwasili kwenye kijiji cha Dutwa  akiwa katika ziara ya mkoa wa Simiyu Machi3, 2016.Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum , Esther Midimu. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitaka maelezo kutoka kwa Kamanda wa Polisi  wa Mkoa wa Simiyu, Onesmo Lyanga kuhusu madai kuwa askari wa Usalama Barabarani mkoani  humo wanawatoza faini kubwa hadi sh 300,000/= waendesha bodaboda. Alikuwa katika mkutano wa kuwaslimia wananchi kwenye kijiji cha Dutwa wilayani Bariadi Machi 3, 2016.

 Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akikagua ujenzi wa nyumba ya kuishi ya Mkurugenzi  wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi akiwa akika ziara ya mkoa wa Simiyu Machi 3, 2016.

 Wasanii wa Bariadi wapiga ngoma wakati Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa alipowasili kwenye bwawa la Ng'wansubuya wialayani Bariadi kufungua bwawa hilo Machi 3, 2016.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akifurahia baada ya  kufungua bwawa la umwagiliaji la kijiji cha Ng'wasubuya wilayani Bariadi akiwa katika ziara ya mkoa wa Simiyu Machi 3, 2016. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akikagua Bwawa la umwagiliaji la kijiji cha Ng'wasubuya  wilayani Bariadi akiwa katika ziara ya mkoa wa Simiyu Machi 3, 2016.
  Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa  akiweka jiwe la msingi la Ofisi ya CCM ya wilaya  ya Bariadi akiwa katika  ziara ya mkoa wa Simiyu Machi 3, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: