Sunday, March 13, 2016

Internews yawakutanisha wahariri kujadili mustakabali wa Taaluma ya habari

 Baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari pamoja na wadau wengine wa habari wakijadiliana juu ya changamoto anuai zilizojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 na namna ya kuzikabili changamoto hizo. Mjadala huo ulioandaliwa na taasisi ya Internews uli0fanyika Ofisi za Internews jijini Dar es Salaam juzi Baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari pamoja na wadau wengine wa habari wakijadiliana juu ya changamoto anuai zilizojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 na namna ya kuzikabili changamoto hizo. Mjadala huo ulioandaliwa na taasisi ya Internews ulifanyika Ofisi za Internews jijini Dar es Salaam juzi Baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari pamoja na wadau wengine wa habari wakijadiliana juu ya changamoto anuai zilizojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 na namna ya kuzikabili changamoto hizo. Mjadala huo ulioandaliwa na taasisi ya Internews ulifanyika Ofisi za Internews jijini Dar es Salaam juzi. Baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari pamoja na wadau wengine wa habari wakijadiliana juu ya changamoto anuai zilizojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 na namna ya kuzikabili changamoto hizo. Mjadala huo ulioandaliwa na taasisi ya Internews ulifanyika Ofisi za Internews jijini Dar es Salaam juzi Mmoja wa wadau wa habari na mwanasheria (katikati) akifafanua jambo kwa washiriki wa mjadala huo. Wenceslaus Mushi kutoka Internews (wa kwanza kulia) akiwakaribisha washiriki wa mjadala huo kabla ya kuanza majadiliano. Baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari pamoja na wadau wengine wa habari wakijadiliana juu ya changamoto anuai zilizojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 na namna ya kuzikabili changamoto hizo. Mjadala huo ulioandaliwa na taasisi ya Internews ulifanyika Ofisi za Internews jijini Dar es Salaam juzi.Mmoja wa wahariri (kulia) akichangia jambo wakati wa mjadala wa wahariri na wadau wa habari juu ya changamoto anuai zilizojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 na namna ya kuzikabili.

No comments: