Monday, March 14, 2016

GSM FOUNDATION YAIPIGA JEKI TIMU YA TAIFA YA RIADHA ILIYOKO KAMBINI WEST KILIMANJARO

Kocha wa timu ya taifa ya riadha Fracis John (kulia) akiwa na wanariadha wanaounda timu ya taifa ya riadha wakitizama msaada wa Track Suit ulitolewa na GSM Foundation kwa ajili ya wanariadha hao. 
Rais wa Shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka akitizama msaada wa track suit zilizotolewa na kampuni ya GSM Foundation. 
Rais wa Shirikisho la riadha Tanzania ,Anthony Mtaka akikabidhi msaada wa track Suit zilizotolewa na GSM Foundation . 
Wanariadha wanaounda timu ya taifa wakichagua Track suit zilizotolewa na kampuni ya GSM Foundation . 

Kila mmoja akichagua rangi anayopendelea. 
Wanariadha wanaounda timu ya taifa ,wakiwa katika picha ya pamoja na rais wa Shirikisho la riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka pamoja na kocha wao Francis John .

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments: