Thursday, January 28, 2016

Banki ya NMB yashiriki maonesho ya wadau wa kilimo na Biashara Afrika Mashariki

Meneja Mahusiano Programu za Wakulima Wadogo wa Benki ya NMB Plc, John Machunda (kushoto) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka (wa pili kulia) alipotembelea banda la NMB katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka (wa pili kulia) akimuuliza swali Meneja Mahusiano Programu za Wakulima Wadogo wa Benki ya NMB Plc, John Machunda (kushoto) alipotembelea banda la NMB katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. 
Meneja Mahusiano wa Kilimo cha Biashara wa Benki ya NMB Plc, Christopher Mwalugenge (kulia) akifafanua maswali mbalimbali kwa wateja waliotembelea Banda la Benki ya NMB Plc katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. 
Meneja Mahusiano wa Kilimo na Biashara wa Benki ya NMB Plc, Hamisi Mmomi (kushoto) akifafanua jambo kwa mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Benki ya NMB Plc katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka (katikati) pamoja na ujumbe wake wakipata maelezo toka kwa Meneja Mahusiano Programu za Wakulima Wadogo wa Benki ya NMB Plc, John Machunda (kushoto) walipotembelea banda la NMB katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka (katikati) pamoja na ujumbe wake wakikaribishwa katika banda la NMB walipotembelea kwenye maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. 
Baadhi ya wananchi wakitembelea mabanda anuai katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. 
Pichani ni baadhi ya mashine na magari yanayotumika kwa kilimo wakiwa katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka (kulia) akipata maelezo toka kwa mtaalamu wa mashine kubwa na ya kisasa inayovuna, kukoboa na kupakia mpunga na mahindi kwenye magunia huku ikijiendesha yenyewe shambani, mashine hiyo ipo katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka (kushoto) akitembelea mabanda mengine katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.

No comments: