Sunday, October 18, 2015

KALAMU EDUCATION FOUNDATION YASHEHEREKEA MWAKA MPYA WA KIISLAM-1437H KIJIJINI RUFIJI NA KUKABIDHA MISAADA MBALI MBALI.


Mmoja wa wenyeji wa msafara wa Taasisi ya Kalamu Education Foundation, Ustaadh Thabit pamoja na watoto wakipokea vifaa mbali mbali vya malazi na maji kutoka kwa baadhi ya wajumbe wa taasisi hiyo.
 Mmoja wa wajumbe wa Taasisi ya Kalamu Education Foundation Ndugu Hussein akimkabidhi magodoro Ustaadh Thabit wa kitoa cha elimu cha Irada – Bungu kwa ajiri ya vijana wanaolala hapo kwa masomo ya dini.
 Baadhi ya wajumbe wa wakitembea na kukagua maeneo mbali mbali ya kijamii na kujifunza changamoto za wananchi waishia maeneo ya eneo la Msafari Rufiji – Pwani
Wana Kalamu Education Foundation wakijumuika na mabinti wa Kituo Cha Madrassa Cha Irada wakati wa usomaji wa risala fupi ya kituo hicho na kufahamu changamoto za jamii ya kijiji hicho ambapo Taasisi ya Kalamu Education Foundation ilitembelea kama sehemu ya sherehe za mwaka Mpya wa Kiislam 1437H ulioanza siku 3 zilizopita.

No comments: