Tuesday, September 8, 2015

NGOMA AFRICA BAND AKA FFU-UGHAIBUNI WAFUNGA KAZI VECHELDE FESTIVAL,UJERUMANI

Kikosi Kazi Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni chenye maskani nchini ujerumani juzi siku ya Jumamosi ya 5 September 2015 kilifanikiwa kufunika katika onyesho Vechelde Festival nchini Ujerumani. Bendi hiyo maarufu barani ulaya kwa kuwadatisha washabiki wa muziki wa kiafrika kule ughaibuni imejijenga umaarufu katika kila kona na kuwekwa kileleni katika nafasi ya juu na washabiki wake wa
kimataifa.  Inaongozwa na kamanda Ras Makunja na kuwa na utajiri wa wanamuziki vijana wenye wingi wa vipaji .
wasikilize at www.reverbnation.com/ngomaafricaband
jiunge nao pia at https://www.facebook.com/NgomaAfricaBand

ALL BLACK ATTIRE PARTY By BBE YAFANA HOUSTON
BBE Team - Party Organizers
BBE Ladies
BBE Ladies
The DJ & MC of All Black Attire Party
Dinner Time
Dada Husan
Amina & Nella
Mahono's




Happy Couple
Uncle

















Shasha

Afutu's


Mona & Suzy




Mutafungwa's



Belly Dance






























































































































































































No comments: