Monday, July 20, 2015

SIMU TV: UCHAMBUZI WA MAGAZETI

STAR TV

Bulaya aitosa CCM, afuata nyao za Lembeli. Ni habari iliyopewa kipaumbele katika kurasa za magazeti ya leo Jumatatu July 20; http://youtu.be/7QWQmTF4ydM

AZAM TV

Simba yasajiri jembe lililoivuruga Yanga. Pata undani wa habari hii katika magazeti ya leo July 20, 2015; http://youtu.be/OF4GdION5Q0

CH 10

Waziri Mkuu Mizengo Pinda awagomea Katavi. Fahamu kilichojiri katika magazeti ya ndani na nje ya nchi katika magazeti ya leo.SimuTv ; http://youtu.be/j9fK7MJ3Pq8

TBC

SUMATRA yawanyooshea kidole wamiliki wa magari wanaoajiri madereva walevi.Pitia dondoo za magazeti kupitia SimuTv; http://youtu.be/a55clycVSLo

MLIMANI TV

Vigogo wa urais CCM wageukia Ubunge.Pata dondoo za Magazeti ya leo July 20 2015 hapa SimuTv;  http://youtu.be/61TwQUbhUVM

No comments: