Tuesday, July 14, 2015

MAPOKEZI NA HOTUBA YA DKT JOHN POMBE MAGUFULI JIJINI DAR ES SALAAM

SIMUTV: Mamia ya Watanzania wanakusanyika uwanja wa Zakhiem kumlaki mgombea Urais kupitia CCM Mhe. John Magufuli.      http://youtu.be/jtHDwvx0TfQ
SIMUTV: Tayari Mhe Magufuli amewasili na shangwe zimepamba moto sanjari na burudani za nyimbo zinazashiria ushindi.        http://youtu.be/P18txkpYgWg
SIMUTV: Mhe. John Magufuli ashindwa kuvumilia na kuamua kuwapungia mkono mamia ya Wananchi na wana CCM waliojitokeza kumsikiliza.    http://youtu.be/VS9bsWH6sIw
SIMUTV: Mh Kinana alikuwa na haya ya kuzungumza wakati wa kumtambulisha  Dkt Magufuli na mgombea mwenza Mh Saamia  katika viwanja vya Zakeem Mbagala       http://youtu.be/Y5ME54NHFUg
SIMUTV: Ni nderemo na vifijo kwa wananchi mkoani Dar es Salaam katika mapokezi ya kumtambulisha mgombea uraisi  Dkt. John Pombe Magufuri.        http://youtu.be/xKW2wCcfFpU
SIMUTV: Umezinyaka tambo za Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Nnape Nnauye wakati akimnadi Mhe. Magufuli? Huyu hapa.    http://youtu.be/xuOTPPQpWqk

No comments: