Saturday, June 6, 2015

NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI BUKOBA,KESHO KUWASHA MOTO MULEBA

 Baadhi ya waendesha piki piki maarufu kama bodaboda wakiushangaa msafara wa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana ulikuwa ukielekea kushiriki na kukagua miradi mbalimbali. 
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akizungumza na wafanyabiasha wa soko la Kashai,lakini pia alipata wasaaa wa kuwasalimia wafanyabiashara hao.


 Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza jambo na Mkuu wa mkoa wa Kagera Mh. John Mongela pamoja na Mbunge wa jimbo la Bukoba mjini Mh. Khamis Kagasheki 
Ujenzi wa uwanja wa ndege wa mjini Bukoba  ukiwa katika hatua za mwisho kukamilika 
 atibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozwa na Meneja wa uwanja wa Ndege wa Bukoba Bw. Julius Mulungwana wakati akikagua ujenzi wa uwanja wa ndege wa Bukoba wakati akiwa kwenye ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza uhai wa Chama Cha Mapinduzi CCM mkoani Kagera ambapo leo aliuwa katika jimbo la Bukoba mjini, Kinana yuko katika ziara ya mikoa ya Kagera, Geita na Mwanza akingozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM. 
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisikiliza risala aliyosomewa wakati alipokagua chanzo cha maji safi huko kata ya Nshambwa,mkoani Kagera.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akijadiliana na jambo na Mbunge wa jimbo mjini Mh.Hamis kagasesheki mara baada ya kukagua mashine ya maji
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akipata taarifa ujenzi wa jengo la Wagonjwa wa nje (OPD),Hospitali ya wilaya.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa sambamba na wananchi  akishiriki katika utengenezaji wa barabara kwa njia ya kujitolea katika kijiji cha Nyanga,mkoani Kagera
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akishiri ujenzi wa Zahannati ya kata Nyanga.
Ndugu Kinana akizungumza na akina mama wajasiliamali mara baada ya kukizindua kikundi chao.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na baadhi wakandarasi wa kampuni ya TechnicfabEngeneering Limited inayojenga mradi huo wa maji mjini Bukoba.

No comments: