Saturday, June 6, 2015

KATIBU MKUU WA CCM AUNGURUMA BUKOBA MJINI,MKOANI KAGERA LEO

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia Mkutan wa hadhara leo, kwenye Uwanja wa Mashujaa mjini Bukoba, akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama na ilani ya Uchaguzi ya CCM.
 Mkuu wa Mkoa wa Kagera,Mh.John Mongella akiwasalimia Wananchi na na  Wanachama wapenzi wa CCM,kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni ya leo katika uwanja wa Mashujaa,mkoani Kagera.
 Baadhi ya Wananchi wakishangilia jambo kwenye mkutano huo wa hadhara. 
  Wanannchi wakisikiliza kwa makini
  Mbunge wa Bukoba mjini Hamis Kagasheki (kushoto) akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mashujaa mjini Bukoba mkoani Kagera.
 Wananchi wa mji wa Bukoba mjini na wafuasi wa chama cha CCM wakishangilia jambo wakati Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye pichani katikati alipokuwa akizungumza
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mashujaa mjini Bukoba leo, akiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana mkoani Kagera.
 
 shangwe na shamra shamra zilikuwepo katika mkutano huo
 Wanafuatilia kwa makini
Baadhi ya Wananchi wa Bukoba mjini na vitongoji vyake wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano wa hadhara uliokuwa ukihutubiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana jioni ya leo katika uwanja wa Mashujaa,mjini Bukoba mkoani Kagera
 Anafuatilia hotuba ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana jioni ya leo katika uwanja wa Mashujaa,mjini Bukoba mkoani Kagera.


No comments: