Thursday, April 2, 2015

EFM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA KWA KISHINDO

Jikekizz la nguvu la kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Radio 93.7 EFM.
Mstahiki Meya wa Kinondoni, Yussuf Mwenda akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila walipo kutana katika ofisi za EFM asubuhi ya leo.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Mtangazaji wa kipindi cha Joto la Asubuhi, Dennis Ssebo akiwa na Mkurugrnzi Mkuu wa Radio 93.7 EFM, Francis Ciza.
Mmoja wa wageni waliotembelea ofisi hiyo, Sukhwinder Bajwa ambaye ni Mkuu wa Masoko kutoka Kampuni ya Zantel, akizungumza wakati wa kuipongeza EFM siku ya leo.
Samira Kiango ambae ni Mhariri Msaidizi pamoja akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa EFM, Francis Ciza.
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila alipokua akiongea moja kwa moja kutoka katika kituo cha 93.7 EFM siku ya leo.
Ukafika wakati wa kukata keki kwa pamoja.
Meneja Mkuu wa EFM, Geofrey Ndaula, alikipiga stori mbili tatu na Reuben Ndege (Ncha kali) pamoja Sostenas Ambakisye (Rdj-Kamokali).
Picha ya familia yetu.
Keki tayari kwa kuliwa.
Samira Kiango pamoja Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila.

No comments: