Thursday, February 19, 2015

BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WANAPOTOA KANDARASI

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Bodi ya Barabara ya Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifugua Mkutano wa bodi hiyo Feb. 17,2015 Mjini Dodoma.
Wajumbe wa Bodi ya barabara ya Mkoa wa Dodoma wakimsikiliza mwenyekiti wa Bodi Mhe. Chiku Gallawa wakati akifungua Mkutano wa kwanza wa Bodi hiyo kwa mwaka 2015 mjini Dodoma Feb. 17.
Meneja wa Wakala wa Barabara-TANROADS Mkoa wa Dodoma mhandisi Leonard Chimagu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya barabara inayotekelezwa na TANROADS kwenye Mkoa wa Dodoma wakati wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoani humo Feb 17, 2015.
Wajumbe wa Sekretarieti ya Bodi ya Barabara ya Mkoa wa Dodoma wakichukua kumbukumbu muhimu kutoka michango ya wajumbe wakati wa Kikao cha Bodi ya barabara ya Dodoma Feb. 17, 2015.
Mwenyekiti wa Halashauri ya Wilaya ya Kongwa Mhe. White Zuberi akichangia hoja wakati wa Kikao cha Bodi ya Barabara Moka wa Dodoma Feb.17, 2015.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma SACP David Misime aki akichangia hoja wakati wa Kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Dodoma Feb.17, 2015.
Naibu Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo na Mbunge wa Kondoa Kusini Mhe. Juma Nkamia akichangia hoja wakati wa Kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Dodoma Feb.17, 2015.

No comments: