Ujumbe
wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu wakikagua eneo
lililotengwa kwa ajili ya NHC kujenga nyumba za gharama nafuukatika
Halmashauri ya Wilaya Serengeti-Mugumu. Eneo hili lina ekari 134 na
miundombinu ya maji na umeme.
Afisa
Mipango Miji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mugumu Serengeti akimuonyesha
Mkurugenzi Mkuu wa NHC ramani ya mpango Miji inayoonyesha eneo la NHC la
kujenga nyumba za gharama nafuu.
No comments:
Post a Comment