Monday, December 22, 2014

VODACOM TANAZANIA YAENDESHA ZOEZI LA KUWAPIMA KIWANGO CHA KILEVI MADEREVA JIJINI ARUSHA

Askari Polisi wa kikosi cha usalama barabarani ,CPL Miraji Yahaya (kulia) akimpima kiwango cha kilevi, Manase Temaeli, dereva wa gari la Machame Safari lenye namba za usajili T 742 BDE ,linalofanya safari zake kati ya miji ya Moshi na Arusha .
Askari Polisi wa kikosi cha usalama barabarani ,CPL Miraji Yahaya (kulia) akimpima kiwango cha kilevi ,Rumisha  Minja dereva  wa gari la Mtei lenye namba za usajili, T 882 CDU linalofanya safari zake kati ya Arusha na Dar  es Salaam.
Askari Polisi wa kikosi cha usalama barabarani ,CPL Miraji Yahaya (kulia)  akipima kiwango cha kilevi kwa Zakayo Chambo ,dereva wa gari la Kapricon Singida lenye namba  T 134 BSU linnalofanya safari yake kati ya miji ya Singida na Moshi zoezi lililoratibiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom zoezi lililoratibiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom.
Asakari wa Kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya Vodacom Tanzania tawi la Arusha wakati wa zoezi la kupima kiwango cha Kilevi kwa madereva wa mabasi yanayofanya safari katika ya mikoa ya kaskazini zoezi lililoratibiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom.
Na Dixon Busagaga wa Globu 
ya Jamii Kanda ya kaskazini.

No comments: