
Timu
ya Tanzania jana wailiichapa timu ya EALA mabao 4 kwa 0 ambapo Mh.
Joshua Nassari alifunga bao la kwanza na bao la pili kufungwa na na
mchezaji mahiri Yusuph Gogo na la tatu kufungwa na Ahmed Ngwali na bao
la nne timu ya EALAwalijifunga wao wenyewe kupitia kwa beki wao Wyclif
Keto katika harakati za kuokoa mpira
Mashabiki wakiwa wanafatilia mpambano kati ya Tanzania na Bunge la EALA jana katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
No comments:
Post a Comment