Saturday, November 29, 2014

MAHAFALI YA CHEKECHEA SHULE YA SOUTHERN HIGHLANDS MAFINGA NA SIKU YA WAZAZI

Mkurugenzi mtendaji  wa  Shule za  Southern Highlands Mafinga  Mary  Mungai akishirikiana na mgeni rasmi  kuwalisha  keki wanafunzi wa  shule  hiyo  leo wakati wa mahafali ya  chekechea na siku ya  wazazi
Wanafunzi  wakionyesha  michezo mbali mbali 
Baadhi ya  wanafunzi wa shule  hiyo  wakifuatilia  michezo mbali mbali
Mgeni rasmi  akitoa  vyeti kwa  wahitimu wa  Chekechea  shuleni hapo
Mkuu  wa shule   hiyo  na  watumishi  wengine  wakijitambulisha na  kupewa   zawadi na mkurugenzi  wao
Mkuu wa shule hiyo pia alitangaza nafasi za masomo kuanzia darasa la kwanza hadi la tatu wanaotokea kiswahili medium schools na la tano pia wakati ,Darasa la 4 na 6 wanaotoka English medium. 
Kwa la nne na sita wale wanaotoka English medium schools.  

 Fomu za kujiunga zinapatikana shuleni na kutakuwa na interviews tarehe 13 / 12/2014 maeneo uafuatayo. Shuleni Southern Highlands   Mafinga, Oyster Bay Primary school, Dar es salaam, chuo cha Nursing Ilembula na Misufini primary school, Songea ama  kuwasiliana na  uongozi  wa  shule kwa simu  hii0756749151 au 0754651966 

Pia  alisema  sekondari form one wanazo  nafasi na  jina la sekondari; Mufindi Highlands School

No comments: