Mkuu wa Wilaya ya Igunga,Mh.Elibarik Kingu akizungumza
mbele ya washiriki wa kongamano la tisa la NHIF na Waandishi wa habari
kuhusiana na mpango mzima wa wananchi wake kutumia bima ya Afya,na pia
alifafanua kuhusiana na mikakati mbalimbali anayotumia kuwahamasisha
wananchi wake katika suala zima la kuhakikisha kila mtu anakua Bima ya
Afya,lakini pia alieleza kuwa Wilaya yake ya Igunga ina vijiji 98,vijiji
78 vimejengwa zahati,lakini mpaka sasa zahanati 31 hazijasajiliwa,hivyo
ameiomba Serikali kupitia wizara ya Afya kuhalakisha suala la usajili
wa zahanati hizo katika kuwasaidia wananchi.
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa NHIF,Bwa.Hamisi Mdee akifafanua jambo katika
kongamano la tisa la NHIF na Waandishi wa Habari,lililofanyika leo
Dodoma hotel,ikiwa ni siku ya pili ya hitimisho la Kongamano hilo,Kauli
mbiu ya kongamano hilo ni ''Tanzania
na Huduma bora za matibabu inawezekana''.Kongamano hilo lilizinduliwa
jana na Waziri wa Afya Dkt Seif Rashid,ambapo pia Kabla ya uzinduzi wa
kongamano hilo Wanahabari walishiriki kutembelea miradi mbalimbali ya
afya,ikiwemo hopsitali ya Mkoa wa Dodoma pamoja na Kituo cha kisasa cha
uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya binadamu kilichopo ndani ya chuo
kikuu cha Dodoma (UDOM),ambacho imegharimu kiasi cha shilingi bilioni 36
zilizotolewa na NHIF,kituo hicho kinatarajiwa kuanza kazi rasmi mapema
mwakani.
Mmoja wa Maofisa kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA),Bi.Gaudensia Semwanza akifafanua jambo katika kongamano la tisa la NHIF na Waandishi wa habari,ndani ya Dodoma hotel leo,ikiwa ni siku ya pili.
Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Athman Rehani akizungumza mbele
ya washiriki wa kongamano la tisa la NHIF na Waandishi wa habari ndani
ya Dodoma hotel leo,ikiwa ni siku ya pili,kuhusiana na mchango wa
Wanahabari katika kuboresha sekta ya Afya na umuhimu wa Mfuko wa Taifa
wa Bima ya Afya kwa watoa Huduma
Pichani kulia ni Mkuu wa wilaya ya Igunga,Mh.Elibarik Kingu,Mkuu wa wilaya ya Iramba,Yahya Nawanda pamoja na Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Athman Rehani kwa pamoja wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri katika kongamano
la tisa la NHIF na Waandishi wa habari ndani ya Dodoma hotel leo,ikiwa
ni siku ya pili,kuhusiana na mchango wa Wanahabari katika kuboresha
sekta ya Afya na umuhimu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa watoa
Huduma
Pichani shoto ni Mmoja wa Maofisa kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA),Bi.Gaudensia Semwanza na Mdau wakifuatilia mada mbalimbali ndani ya kongamano la tisa la NHIF na Waandishi wa habari,ndani ya Dodoma hotel leo,ikiwa ni siku ya pili.
Pichani
kulia ni Mkuu wa wilaya ya Igunga,Mh.Elibarik Kingu pamoja na Mkuu wa
wilaya ya Iramba,Yahya Nawanda wakijadiliana jambo.
Washiriki katika
kongamano la tisa la NHIF na Waandishi wa Habari,lililofanyika leo
Dodoma hotel ikiwa ni siku ya pili ya kilele chake huku likiwa limebeba
kauli mbiu ''Tanzania
na Huduma bora za matibabu inawezekana''.Kongamano hilo lilizinduliwa
jana na Waziri wa Afya Dkt Seif Rashid,ambapo pia Kabla ya uzinduzi wa
kongamano hilo Wanahabari walishiriki kutembelea miradi mbalimbali ya
afya,ikiwemo hopsitali ya Mkoa wa Dodoma pamoja na Kituo cha kisasa cha
uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya binadamu kilichopo ndani ya chuo
kikuu cha Dodoma (UDOM),ambacho imegharimu kiasi cha shilingi bilioni 36
zilizotolewa na NHIF,kituo hicho kinatarajiwa kuanza kazi rasmi mapema
mwakani.


Baadhi ya Wanahabari na Wahariri waandamizi wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye kongamano la tisa la NHIF na Waandishi wa habari,ndani ya Dodoma hotel leo,ikiwa ni siku ya pili.
Mmoja wa Wanahabari Wakongwe,kotoka gazeti la Habari Leo Beda Msimbe akiuliza swali kwenye Kongamano hilo.
Baadhi ya Wanahabari na Wahariri waandamizi wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye kongamano la tisa la NHIF na Waandishi wa habari,ndani ya Dodoma hotel leo,ikiwa ni siku ya pili.
Baadhi ya Maofisa kutoka NHIF wakijadiliana jambo wakati wa Kongamano .
Mkurugenzi
Mtendaji wa shirikisho la Vilabu vya Waandishi wa Habari Tanzania
(UTPC),Bwa.Abubakar Karsan akichangia jambo katika kongamano la tisa la NHIF na Waandishi wa habari,ndani ya Dodoma hotel leo,ikiwa ni siku ya pili.














1 comment:
MALI,UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI MPAKA MASAA 72(SIKU 3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.
Post a Comment