![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjojOFa-9VY6QJDK2pxgJlvY6d7HRrST_GluVQ281Y_iKkCPdRaEDPcPiJt9nwvv3nMBs0iNhO6Ibj6-mgHd3FAzdYj2MoqaAuaRapcYY4YXvAkjN1h0_lat18cRwlAHCv4CEL5iPOa2CjP/s1600/MMGM1316.jpg)
Sehemu ya wanahabari waliohudhulia Semina hiyo wakifatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa toka kwa baadhi ya wanahabari nguli barani Afrika walioongoza semina hiyo.
Mhariri wa Gazeti ya Citizen la hapa nchini,Bw. Richard Mbamba akiendelea kutoa somo kwa wanahabari.
Mhariri wa Gazeti la City Press la nchini Afrika Kusini,Ferial Haffajee akizungumza wakati wa Semina ya simu moja kwa wanahabari wa Tanzania juu ya namna wanavyopaswa kufanya kazi zao,iliyofanyika leo katika Hoteli ya New Afrika,jijini Dar es Salaam.
Mhariri wa
Baadhi ya Wanahabari wa Tanzania wakiuliza maswali kwa wahariri hao.
No comments:
Post a Comment