Friday, September 12, 2014

WASHINDI TUZO ZA HABARI TANAPA WATEMBELEA MAENEO YA KIHISTORIA AFRIKA KUSINI

Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 kutoka kushoto David Rwenyagira (Radio Five), Vedasto Msungu (ITV), Mtanzania Peter Masika wa Johannesburg na Gerald Kitabu (The Guardian) wakiwa nje ya nyumba ya Rais wa Kwanza wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela jijini Johannesburg, Afrika Kusini.
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 wakiwa ya Jumba la Makumbusho ya Ubaguzi wa Rangi.
Picha ya Mzee Nelson Mandela inayopatikana katika Jengo hilo la Makumbusho ya Ubaguzi wa Rangi.
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 wakiwa nje ya ‘Union Building’ ambapo ndipo yalipo Makazi ya Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini, jijini Pretoria.
Mbele ya sanamu ya Mzee Nelson Mandela.
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 katika picha ya pamoja na watalii mbalimbali jijini Johannesburg.
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013 wakiwa katika eneo la Makumbusho la Hector Pieterson, kijana aliyeuwawa wakati wa Harakati za Kupinga Ubaguzi wa Rangi nchini Afrika Kusini mwaka 1976.

No comments: