Friday, May 16, 2014

BALOZI LIBERATA MULAMULA AMKARIBISHA RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA NA MKEWE CHAKULA CHA JIONI NYUMBANI KWAKE

 Picha ya pamoja ya Balozi Liberata Mulamula na Mhe. Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa wakiwa pamoja na marafiki zao wa siku nyingi Bi.Toyin Rose(kushoto) na mumewe. 
 Picha ya pamoja Mhe. Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa pamoja na mwenyeji wao Mhe. Libarata Mulamula.
Picha ya pamoja na Maafisa Ubalozi
 Balozi Mulamula akiwasindikiza wageni wake Mhe. Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa walipokua wakiondoka.
 Juu na chini ni Maafisa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na msafara wa Mhe. Benjamin Mkapa wakifuatilia mzungumuzo hayo.
 Juu na chini ni Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake, Rais Mstaafu awamu ya tatu Mhe. Banjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa pamoja na marafiki zao wa siku nyingi Toyin Rose na mumewe ambao wanaishi Bethesda, Maryland wakiwa meza ya chakula.
Rais mstaafu Mhe. Benjamin Mkapa akipokea zawadi ya kitabu toka kwa Afisa Mindi Kasiga.
Mama Anna Mkapa akipokea zawadi ya viatu kutoka kwa Afisa Mindi Kasiga.

No comments: