Thursday, March 6, 2014

CRDB yazindua huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi KCMC

Baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa tawi dogo la CRDB pamoja na uzinduzi wa utolewaji wa huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi katika hosptali ya rufaa ya KCMC.
Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini,Dk Martin Shao akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa tawi dogo la CRDB pamoja na uzinduzi wa utolewaji wa huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi katika hosptali ya rufaa ya KCMC.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB wakiwa katika viwanja vya hosptali ya rufaa ya KCMC kufuatilia uzinduzi huo.
Wachungaji wakishirikisha neno la Mungu wakati wa hafla ya katika hosptali ya rufaa ya KCMC ya uzinduzi wa tawi dogo la CRDB pamoja na uzinduzi wa utolewaji wa huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi katika hosptali ya rufaa ya KCMC.
Baadhi ya mameneja na wafanyakazi wa CRDB wakifuatilia hafla hiyo.
Tawi dogo la Benki ya CRDB lililozinduliwa katika hospitali ya rufaa ya KCMC.
Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini Dk Martini Shao akiwa na mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB Dk Charles Kimei pamoja na wageni wengine mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja wakionesha kadi ya mfano ya kulipia gharama za matibabu katika hospitali ya rufaa ya KCMC.
Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini Dk Martini Shao akiwa na mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB Dk Charles Kimei wakielekea katika jengo la tawi dogo la Benki ya CRDB kwa ajili ya uzinduzi.

Burudani ya ngoma ilikuwepo kwa ajili ya wageni waalikwa.
Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini Dk Martini Shao akiwa na mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB pamoja na kaimu mkurugenzi wa hosptali ya KCMC .Prof Raimosi Ollomi wakati akizindua tawi dogo la Benki ya CRDB.
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB,Dk Charles Kimei akimuelekeza jambo Askofu Dk Martin Shao kabla ya uzinduzi wa huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi.

Askofu Dk Martini Shao akizindua rasmi huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi ambayo sasa itatolewa katika hospitali ya rufaa ya KCMC.

Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB Dk Charles Kimei akifanya malipo kwa njia ya kadi katika hospitali ya rufaa ya KCMC ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa huduma hiyo. Picha na Dixon Busagaga wa globu ya jamii,Moshi.

No comments: