


Baadhi ya waimbaji wa Kukundi cha Kapotive wakiimba
Denis Deus kulia akiwajibika..























Mtoto Yesu Kazaliwa tumsherehekee Na Kumshangilia Kwa Pamoja....



































Mgeni Rasmi Meya wa Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera, Dk. Anatory Amani akizungumza maneno machache kabla ya kuzindua Album hiyo ya ZAWADI YA CHRISTMASS
Meya wa Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera, Dk. Anatory Amani akiteta jambo na mmoja wa waimbaji wa kikundi cha Kapotive star Singers Teddy Rweyendela
Meya wa Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera, Dk. Anatory Amani tayari kwa kuzindua Album hiyo
Meya wa Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera, Dk. Anatory Amani na Askofu Msaidizi wa Jimbo Cathoric la Bukoba Methodius Kilaini kulia wakionesha CD hiyo ya Zawadi ya Christmass inayoonekana juu ya Kasha.
Wakaongezea mzigo mwingine
Meya wa Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera, Dk. Anatory Amani (kati) Askofu Msaidizi wa Jimbo Cathoric la Bukoba Methodius Kilaini (kulia) na Mwenyekiti wa Kamati Bw. Philibert T. Katabazi. |
No comments:
Post a Comment