Sunday, September 29, 2013

HARAMBEE KUCHANGIA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA KUSINI UNGUJA YAFANA

Baadhi ya Wananchi na wanachama Chama cha Mapinduzi walioalikwa katika hafla ya Harambee ya kukichangia Chama Mkoa wa Kusini Unguja iliyofanyika  katika Hoteli ya Karafuu,Michamvi Wialaya ya Kat
 Viongozi wa Chama na Wananchi mbali mbali walioalikwa katika Uchangiaji wa Fedha kwa CCM Mkoa wa Kusini Unguja,wakiwa katika hafla hiyo iliyofanyika  katika Hoteli ya Karafuu,Michamvi Wilaya ya Kati
Mwakilishi wa Jimbo la Uzini CCM Mohamed Raza Daramsi,akiimba wimbo usemao “Mpewa hapokonyeki” wakati kikundi cha Culture Musicul Club kilipocharaza ala zake katika hafla ya Harambee ya kuchangia Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja huko Karafuu Hotel Michamvi Wilaya ya Kati
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akimkabidhi Fedha Tasilim Shilingi za Kitanzania Milioni Moja katibu wa Kikundi cha Culture Muzical Club Said Mwinychande,wakati wa hafla ya Harambee ya kuchangia Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja huko Karafuu Hotel Michamvi Wilaya ya Kati
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akimkabidhi Cheti maalum Kamanda wa UVCCM (M) Misungwi,John Buyamba, akiwa ni miongoni mwa Wanachama na Viongozi waliokichangia chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja katika hafla ya Harambee iliyofanyika  Michamvi Karafuu Hotel Wilaya ya Kati
Mbunge wa Jimbo la Muyuni  Mahadhi Juma,(kulia)akionesha Cheti alichokabidhiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,(katikati)kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Benard Membe,kwa mchango wake alioutoa kwa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini katika hafla ya Harambee iliyofanyika Karafuu Hotel Michamvi,Wilaya ya Kati (kushoto) Mkuu wa Wilaya ya Kati Vuai Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM

Zanzibar,akimakabidhi Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa Mkoa wa Kusini Unguja Jafar Sanya,cheti kwa kukichangia chama cha Mapinduzi katika hafla iliyofanyika huko Karafuu Hotel Michamvi Wilaya ya Kati

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akipokea fedha tasilim shingi za Kitanzania Milioni Moja kutoka kwa Mohamed Naushad,wakati wa Hafla ya kukichangia Chama cha mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja,huko katika Hoteli ya Karafuu Michamvi Wilaya ya Kati
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni  Salmin Awadh,alipokuwa akitoa kauli ya kuchangia Shilingi Milioni Moja wakati wa Hafla ya kukichangia Chama cha mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja,huko katika Hoteli ya Karafuu Michamvi Wilaya ya Kati
Kamanda wa UVCCM (M) Misungwi John Buyamba,akionesha picha baada ya kuinuua kwa Shilingi Milioni Moja fedha za Kitanzania katika hafla ya kuchangia Chama cha Mpainduzi Mkoa wa Kusini Unguja,iliyofannyika jana Karafuu Hotel Michamvi Wilaya ya Kati,(kulia) Mkuu wa Wilaya ya Kati Vuai Mwiny
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya Harambee ya kukichangia Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja,huko Karafuu Hotel Michamvi Wi laya ya Kati Katika hotuba yake aliwashukuru Viongozi na wananchi kwa kuonesha moyo wao wa kujitolea katika chama
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,(katikati) akimkabidhi Cheti maalum Mwakilishi wa  Jimbo la Uzini Mohamed Raza Daramsi,  akiwa ni miongoni mwa Wanachama na Viongozi waliokichangia chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja katika hafla ya Harambee iliyofanyika Michamvi Karafuu Hotel Wilaya ya Kati,(kushoto) Mkuu wa Wilaya ya Kati Mhe. Vuai Mwinyi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,akiwa katika picha ya pamoja na Kikundi cha Culture musical Club, baada ya kumalizika kwa hafla ya Harambee ya kuchangia Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja huko Karafii Hotel Michamvi Wialaya ya Kati.
Picha zote na Ramadhani Othman, Ikulu, Zanzibar.

No comments: