Monday, April 1, 2013

DIAMOND AUTEKA MJI WA BUKOBA


Mwananmuziki wa kizazi kipya ambae yupo juu kwa sasa katika gemu ya Bongo Flava, Diamond akipokelewa na mashabi wake mjini Bukoba baada ya kuwasili Jumamosi Marcha 30, 2013 kwa ziara yake inayoendelea kanda ya ziwa wiki hii ya Pasaka.
Prezidah wa Bongo flava akisalimiana na mashabiki wake Mjini Bukoba wakati alipowasili akiwa njiani kuelekea Hotelini kwake ilibidi Polisi waingilie kati msafara wake kwa kusimamisha magari kuruhusu msafara wake upite na shughuli nyingine zilisimama kwa muda
Moja ya mashamsham ya shabiki wa Diamond akifanya vimbwanga vyake juu ya Pick up wakati wa msafara wa Prezidah wa Bongo Flava alipowasili Bukoba
Diamond akiwapa Vionjo vya nyimbo zake huku akiwasalimia mashabiki wa mjini Bukoba
kwa picha zaidi bofya read more
Diamond akiwa amembeba mtoto huku akisema waacheni watoto waje kwangu
Mashabiki wa Bukoba wakipagawika baada ya kumuoana Preszidah wao
Prezidah Diamond akidhihirisha ukali wake kwa mashabiki wake wa Geita alipofanya sho yake siku ya Ijumaa Marcha 29, 2013 kwenye ziara yake ya Kanda ya ziwa
Diamond na kundi zima la Wafi wakiwa tayari kuingia ukumbini walipokua Geita siku ya Ijumaa Marcha 29, 2013
Prezidah na kundi la Wasafi wakiendelea kukonga nyoyo za mashabiki mjini Geita
Mashabiki wa Geita waliofika kwenye show ya Diamond
Picha na This is Diamond Website

No comments: