Monday, November 19, 2012

WANAMITINDO 12 WAPITA USAILI WA UNIQUE MODEL 2012


Jumla ya wanamitindo kumi na mbili wamechaguliwa kuingia katika shindano la kusaka UNIQUE MODEL OF A YEAR 2012 ambapo usaili huo ulifanyika katika Hoteli ya Lamada jumapili. Wanamitindo hao ni Elizabeth Petty,Phina revocatus,Amina Ayoub,Vivian Gilbert,Mwanaidi Mokitu,Elizabeth Boniface,Magreth M safiri,Berther Beson,Jennifer  Njabili ..........
Wadau kadhaa wakimpa pongezi mkurugenzi wa shindano Methuselah Magese baada ya kazi nzito ya usaili kumalizika.pembeni ni baadhi ya models wasubiri picha za hapa na pale.

No comments: