Friday, November 16, 2012

Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Dr Ali Mohamed Shein Unguja

 Viongozi mbalimbali wachama cha Mapinduzi wakiwa katika Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM huko katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Zanzibar
 Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk,Ali Mohd Shein akisalimiana na Viongozi wa Chama hicho na Wananchi mbalimbali waliokwenda kumpokea hapo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Zanzibar.
 Msafara wa Wapanda Pikipiki wa Chama cha Mapinduzi ukiwa mbele katika Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk,Ali Mohd Shein ukitokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Zanzibar.

 Msafara wa Wapanda Pikipiki wa Chama cha Mapinduzi ukiwa mbele katika Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk,Ali Mohd Shein ukitokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Zanzibar.

 Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk,Ali Mohd Shein akiwapungia Mkono Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi akitokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume Zanzibar.
 Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM)wakitembea kwa Miguu hadi Makao Makuu ya Chama hicho Kisiwa Ndui Zanzibar.ikiwa ni Moja ya Shamra shamra za Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk,Ali Mohd Shein.

 Kijana Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi Pili Hassan Suluhu akimvisha Skaf Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk,Ali Mohd Shein mara baada ya kufika katika Makao Makuu ya Chama hicho Kisiwa Ndui Zanzibar.
 Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk,Ali Mohd Shein (watatu kulia)akijumuika na Viongozi mbalimbali wa Dini na Chama katika Kaburi la Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amaan Karume ili kumuombea Dua Rais huyo mara baada ya kufika katika Makao Makuu ya Chama hicho Kisiwa Ndui Zanzibar.
 Wazee wa Chama cha Mapinduzi (CCM)wakisikiliza Hotuba ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk,Ali Mohd Shein hayupo pichani mara baada ya kufika katika Makao Makuu ya Chama hicho Kisiwa Ndui Zanzibar.
Wazee wa Chama cha Mapinduzi (CCM)wakisikiliza Hotuba 

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk,Ali Mohd Shein akitoa hotuba kwa Wazee wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliofika Mkao Makuu ya Chama ili Kumpongeza kwa kuchaguliwa kwake huko Dodoma na kumtakia kheri katika Kuiongoza Zanzibar.

No comments: