Wednesday, January 18, 2012

Mazishi ya Marehemu Regia Mtema mjini Ifakara, mkoani Morogoro

 Waombolezaji mazishini



 Viongozi wa CHADEMA
 Wazazi wa marehemu
Wazazi wa Marehemu wakiweka udongo kaburini
 Baadhi ya waombolezaji wakiwa kwenye mazishi ya Marehemu Regia Mtema mjini Ifakara

 Baadhi ya wabunge toka vyama mbalimbali wakiwa mazishini 
 Vijana wa ulinzi wa CHADEMA wakithibiti umati wa waombolezaji
 Umati wa waombolezaji makaburini 
 Mwili wa marehemu ukiwasili makaburini
 Vilio na majonzi
 Pacha wa marehemu akibembelezwa
 Kwaya ikiimba mapambio 

 Wabunge wa vyama mbalimbali wakisubiri mwili uwasili kwa mazishi
 Vijana wa ulinzi 
 Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe akiwasili
 Jeneza lenye mwili wa marehemu likishushwa makaburini
 Rais Kikwete akiongea na Spika Anne Makinda. Pembeni yao ni Naibu Spika Job Ndugai na Mh Hawa Ghasia
 Mdogo wa marehemu
 Wanahabari wakirekodi tukio hilo

 Salamu za Shukrani toka kwa msemaji wa familia 

 Ibada ya mazishi ikiendelea

 Spika Anne Makinda akiweka udongo kaburini
 Naibu Spika akiweka udongo kaburini
 Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe akiweka udongo kaburini
 Sehemu ya waombolezaji
Karibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa akijiandaa kuweka shada ya maua kaburini

No comments: