Monday, June 20, 2016

ASKOFU WA MKUU WA JIMBO KATOLIKI LA ARUSHA, MHASHAMU ASKOFU, JOSEPHAT LOUIS LEBULU ATOA SAKRAMENTI YA KIPAIMARA WA WATOTO 26 WA PAROKIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA HURUMA MBEZI BEACH JIMBO KUU LA DAR ES SALAAM.

ASKOFU wa  Mkuu wa Jimbo katoliki la Arusha, Mhashamu Askofu, Josephat Louis Lebulu  ametoa Sakramenti ya Kipaimara kwa watoto 26 wa Parokia ya Bikira Maria mama wa Huruma- Mbezi Beach  jimbo kuu la Dar es Salaam jana Juni 19,2016.
Askofu wa  Mkuu wa Jimbo katoliki la Arusha, Mhashamu Askofu, Josephat Louis Lebulu(Mwenye Kofia ya Kichungaji) akiwa katika picha ya pamoja na watoto 26 waliopata Kipaimara jana  pamoja na viongozi mbalimbali wa Parokia ya Bikira maria Mama wa Huruma Mbezi Beach jimbo kuu la Dar es Salaam.
 Baadhi ya watoto wakiandamana kuelekea ndani ya kanisa kwaajili ya Kupata Sakramenti ya Kipaimara.
 Watoto wakiwa kanisani katika Parokia ya Bikira Maria mama wa Huruma- Mbezibichi  jimbo kuu la Dar es Salaam jana Juni 19, 2016.

Watoto wakienda kumpongeza Askofu wa  Mkuu wa Jimbo katoriki la Arusha, Mhashamu Askofu, Josephat Louis Lebulu(Mwenye Kofia ya Katikati kwa kufika katika Parokia ya Bikira Maria mama wa Huruma- Mbezi beach  jimbo kuu la Dar es Salaam jana Juni 19, 2016. 

 Baadhi ya Waumini wailiohudhuria ibada ya Askofu wa  Mkuu wa Jimbo katoliki la Arusha, Mhashamu Askofu, Josephat Louis Lebulu, katika Parokia ya Bikira Maria mama wa Huruma- Mbezi beach   jimbo kuu la Dar es Salaam jana Juni 19, 2016. 
 Watoto waliopata Sakramenti ya Kipaimara wakiwa  katika picha ya pamoja na Parokia ya Bikira Maria mama wa Huruma- Mbezi beach   jimbo kuu la Dar es Salaam jana Juni 19, 2016 mara baada ya kupata Sakramenti hiyo.
Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel Stephano Kakingo, akiwa katika picha na Msimamizi wake mara baada ya Kupata Sakrament hiyo na Askofu wa  Mkuu wa Jimbo katoliki la Arusha, Mhashamu Askofu, Josephat Louis Lebulu alipofika na kuwapa Sakramenti ya Kipaimara katika parokia hiyo.
 Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel, Stephano Kakingo.
 Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel, Stephano Kakingo mwenye mataji akiwa katika picha ya Pamoja na wazai wake.
 Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel Stephano Kakingo akiwa katika picha ya pamoja na Shangazi zake.
  Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel Stephano Kakingo akiwa katika picha ya pamoja na baba yake mdogo Kushoto na mama zake wadogo.
  Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel Stephano Kakingo (mwenye mataji) akiwa katika picha ya pamoja na ndugu na jamaa waliofika kumpongeza mara baada ya kupata Sakramenti ya Kipaimara.
 Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel Stephano Kakingo (mwenye mataji) akiwa katika picha ya pamoja na majirani.
Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel Stephano Kakingo (mwenye mataji)akiwa katika picha ya pamoja na wadogo zake.
 Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel Stephano Kakingo (mwenye mataji) akiwa katika picha ya pamoja na mama yake mdogo (kulia) mdogo wake Jakson Kakingo na Shangazi yake Neema Mbwilo wa kwanza kushoto.

 Keki ya Pongezi kwa Samwel Stephano Kakingo.
 Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel Stephano Kakingo kulia akiwa na mpambe wake.
 Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel Stephano Kakingo (Kulia) akikata keki.
 Shangazi wa Samwel Stephano Kakingo, Lulu Kakingo akimsaidia Samwel kukatakata keki kwaajili ya kujipongeza.
 Mtoto aliyepata Sakramenti ya Kipaimara, Samwel Stephano Kakingo akilishwa keki na Mpame wake jana mara baada ya upata Sakramenti ya Kipaimara na Askofu wa  Mkuu wa Jimbo katoliki la Arusha, Mhashamu Askofu, Josephat Louis Lebulu.
 Mpambe wa Samwel akilishwa keki.
 Samwel akimlisha keki Baba yake.
  Samwel akimlisha keki Mama yake.
  Samwel akimlisha keki Babu yake, Mzee Peter Kakingo.
  Samwel akimlisha keki Bibi yake, Mama Kakingo.
















Askofu wa  Mkuu wa Jimbo katoliki la Arusha, Mhashamu Askofu, Josephat Louis Lebulu (Aliyevaa  Msalaba) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya waumini wa Parokia ya Bikira maria Mama wa Huruma Mbezi beach  jimbo kuu la Dar es Salaam mara baada ya kutoa Sakramenti ya Kipaimara kwa watoto 26 wa Parokia hiyo.

No comments: