Wednesday, February 17, 2016

DC WA HAI,ANTHONY MTAKA AMALIZA MGOGORO WA MAJI KATI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) NA WANANCHI KATIKA KIJIJI CHA SHIRI NJORO.

Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akiongozana na baadhi ya wanakijiji cha Shiri Njoro wakitembelea chanzo cha maji cha Shiri.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony akiwa na baadhi ya viongozi wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi,MUWSA pamoja na viongozi wa kijiji cha Shiri Njoro wakifanya maombi kabla ya kufanyika kwa kikao cha usuluhishi.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akimsikiliza mmoja wa viongozi wa kijiji cha Shiri .

DC Mtaka akizungumza jambo mara baada ya kumsikia malalamiko ya wanakijiji hao.


Mkuu wa wilaya akipitia rekodi ya kiwango cha maji ambacho kimekuwa kikirekodiwa na Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi(MUWSA).
Afisa kutoka bondde la Pangani,Brown Mwangoka akizungumza namna ambavyo mgawanyo wa maji katika chanzo cha Shiri unafanyika.
DC Mtaka akizungumza.
Mwenyekiti wa kijiji cha Shiri Njoro ,Clemence Nkya akimueleza jambo mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka.


Mwenyekiti wa Kijiji cha Shirimatunda Beda Massawe akizungumza jambo katika kikao hicho.
DC Mtaka akitoa ushauri katika kikao hicho ambacho wakulima walilalamika kupata maji pungufu kwa ajili ya kumwagilia mazao yao.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa MAzingira mjini Moshi,MUWSA Joyce Msiru akimuelekeza afisa uhusiano wa mamlaka hiyo,Flora Nguma kuchukua mambo mbalimbali yaliyotolewa katika kikao hicho.

Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akizungumza jambo katika eneo ambalo hugawanya maji kwenda katika mifereji mitatu inayotumiwa na wakulima katika kijiji cha Shiri.
Mwenyekiti wa kijiji cha Shiri Njoro,Clemence Nkya akishauri jambo kwa Mkurugenzi wa MUWSA,Joyce Msiru.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii kanda ya kaskazini.

No comments: