Tuesday, February 16, 2016

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

Serikali yauagiza uongozi wa mkoa wa Iringa kuwatafutia makazi ya kudumu  wananchi waliokumbwa na mafuriko ;https://youtu.be/gTcdMlxP0nc

Serikali yapeleka msaada wa chakula kwa waathirika wa mafuriko katika wilaya ya Rufiji mkoani Pwani;https://youtu.be/iStTN3678wA  

Baadhi ya wakazi wa jijini Dar es Salaam wamuomba Rais John Magufuli kusaidia upatikanajii wa dawa za watoto katika hospitali za umma; https://youtu.be/Wzx4axGKMks

Waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano, Prof Makame Mbarawa amesema serikali itaangalia upya utendaji wa  uongozi wa wakala wa ufundi na umeme nchini TAMESA;https://youtu.be/LwvOrwcT9kE   

Jeshi la polisi mkoani Morogoro linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kujihusisha na usafirishaji wa raia wa kigeni;https://youtu.be/UT4YsjukAAE

Serikali ya Ujerumani yaikabidhi serikali ya Tanzania msaada wa Ndege ndogo maalum kwa mapambano dhidi ya ujangili nchini;https://youtu.be/f2R1EoicCOU   

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Mhe.Paul Makonda kuandaa shindano kwa ajili ya kuwashindanisha wajasiriamali wa wilaya ya Kinondoni; https://youtu.be/fH3P-noGfPY  

Serikali yazitaka taasisi za sekta nchini kushirikiana na serikali katika kufikia malengo yao; https://youtu.be/cZ81t0_wqP0  

Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo yasema itafunga simu zote bandia ifikapo Juni 16 mwaka huu; https://youtu.be/tA6poe0U-Oo  

Waziri mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kukutana na wadau wa michezo nchini jumatano ya wiki hii  kujadili changamoto zinazoikabili sekta ya michezo nchini;https://youtu.be/_jL0kwC4YMw
Shirikisho la soka nchini TFF latangaza viingilio vya pambano la watani wa jadi baina ya Yanga na Simba litakalofabyika siku ya jumamosi ya tarehe 20 katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam;https://youtu.be/icmceCmbuoo

Serikali visiwani Zanzibar yawakata wananchi kujihadhari na kushiriki katika vitendo vitavyosababisha uvunjifu wa amani visiwani humo; https://youtu.be/bc0QOyRYAm8   

Baraza la wazee wa chama cha NRA yapinga kauli ya mgombea urais wa Zanzibar kupitia cha hicho, Seif Ali Iddi kuwa chama hicho hakitashiriki uchaguzi mkuu wa visiwani Zanzibar;https://youtu.be/Y_igNCu8EBM

Waziri wa elimu Prof. Ndalichako asitisha mkataba wa mkurugenzi wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu kufuatia udhaifu wa kiutendaji.https://youtu.be/HhuabN7ctE8  

Mtu mmoja afariki dunia huku kaya zaidi ya mia tisa zikiathirika kutokana na mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Lindi. https://youtu.be/09ntIOICE3E  

Nchi tano za Afrika Mashariki zikiwemo Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi na Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo zaanza kufanya mazungumzo ya kuunganisha reli ya kati ya Tanzania ili iweze kufika katika mataifa hayo ili kupunguza changamoto zinazoikabili sekta ya uchukuzi afrika mashariki. https://youtu.be/6xiEBni76_k

Zaidi ya kaya 98 wilayani Uvinza mkoani Kigoma hazina mahala pa kuishi kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na kufurika kwa mto Kilanga unaomwaga maji yake ziwa Tanganyika.https://youtu.be/9zYqHfBCC00  

Naibu waziri wa TAMISEMI Suleiman Jaffo atembelea soko la Kariakoo na kubaini madudu kadhaa hasa kwenye ukusanyaji wa mapato, huku akitoa maagizo kwa viongozi wa soko hilo.https://youtu.be/nfQl5LwAqOw

No comments: