Monday, September 7, 2015

MAHAFALI YA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI GENIUS KING’S JIJINI DAR

Wahitimu wa darasa la saba Fredrick Robert (kulia) na Rania Hante kutoka shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam wakisoma risala yao kwa Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa mahafali ya nne ya kuwaaga wanafunzi hao iliyofanyika hivi karibuni shuleni hapo.
 
Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema akitoa hotuba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa mahafali ya nne ya kuwaaga wanafunzi wa shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam iliyofanyika hivi karibuni shuleni hapo.
Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema akitoa hotuba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa mahafali ya nne ya kuwaaga wanafunzi wa shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam iliyofanyika hivi karibuni shuleni hapo. Waliopo meza kuu ni Wakurugenzi wa shule hiyo, kwanza kulia ni Mkurugenzi Imelda Philip akifuatiwa na Machage Kisyeri. Na wa kwanza kushoto ni Julius Rutabanja.
Mtimu wa darasa la saba wa shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam Habiba Ayoub akipokea cheti cha kuhitimu elimu ya shule ya msingi kutoka kwa Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo.
  Mtimu wa darasa la saba wa shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam Deniol Msemwa akipokea cheti cha kuhitimu elimu ya shule ya msingi kutoka kwa Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo.
Mwanafunzi Cuthbert Safari akimvalisha “skafu” Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema alipowasili wakati wa mahafali ya nne ya kuwaaga wanafunzi wa shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam.
Wahitimu wa darasa la saba kutoka shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa wakionesha vyeti mara baada ya kukabidhiwa vyeti hivyo wakati wa mahafali ya nne ya kuwaaga wanafunzi hao iliyofanyika hivi karibuni shuleni hapo.
Wahitimu wa darasa la saba kutoka shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam wakifuatilia hotuba ya Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo (hayupo pichani) wakati wa mahafali ya nne ya kuwaaga wanafunzi hao iliyofanyika hivi karibuni shuleni hapo.
Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema (katikati mstari wa mbele walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na Wahitimu wa darasa la saba kutoka shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa wakionesha vyeti mara baada ya kukabidhiwa vyeti hivyo wakati wa mahafali ya nne ya kuwaaga wanafunzi hao iliyofanyika hivi karibuni shuleni hapo.
Baadhi ya wazazi na walezi wakifuatilia hafla ya kuwaaga Wahitimu wa darasa la saba kutoka shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam hivi karibuni.
Mwalimu Evarist Runimba akipokea zawadi ya kuwa mwalimu mlezi wa darasa la saba mwaka 2015   kutoka kwa Mgeni Rasmi Mhandisi Michael Mrema wakati wa mahafali ya nne ya wahitimu hao kutoka shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam.

(Picha na Eleuteri Mangi- MAELEZO)
Wanafunzi wakitumbuiza kwa michezo mbalimbali wakati wa mahafali ya nne ya kuwaaga wanafunzi wa shule ya Msingi Genius King’s iliyopo jijini Dar es salaam.
Mhitimu wa darasa la saba Emma Emily akiwa amepokea cheti cha kufanya vizuri katika somo la Hisabati pamoja na hati ya ufadhili wa kusomeshwa kidato cha kwanza hadi cha nne katika shule ya sekondari ya Bright Future Girls iliyopo jijini Dar es salaam.

No comments: