Wednesday, January 21, 2015

NHC yaendesha kongamano la Mameneja wa Mikoa na Watendaji wake katika hoteli ya Naura Springs, Arusha.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza jambo katika kongamano hilo ambapo alisisitiza umuhimu wa Watendaji wa NHC kuongeza ubunifu katika kazi zao ili kuongeza ufanisi wa kazi zao.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akikabidhi zawadi ya simu ya kisasa ya I Phone 6 kwaajili ya kuboresha ufanisi kwa Ofisa Mwandamizi Uendelezaji Biashara Fatima Rajabu ambaye aliibuka mshindi wa jumla wa maigizo ya vitendo kwenye kongamano la Mameneja wa Mikoa na Watendaji wengine linalofanyika katika hoteli ya Naura Springs, Arusha. Kongamano linakusudia kuwajengea uwezo wa kiuongozi wa kusimamia uuzaji wa nyumba zinazojengwa na NHC katika maeneo mbalimbali nchini. Katika kongamano hilo, mada mbalimbali zinaendelea kutolewa ikiwemo kuwajali wateja, misingi ya uhusiano na ujenzi wa taswira ya Shirika na uwekezaji katika sekta ya usimamizi na uendelezaji wa Miliki.
Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba (NHC), David Shambwe akitoa mada kwenye kongamano hilo. Shambwe alizungumzia hatua muhimu za kuibua miradi kuitekeleza na hatimaye kuiuza kwa ufanisi kwa wateja na kufuatilia malipo baada ya kuuza nyumba zinazojengwa maeneo mbalimbali nchini. 
Mhadhiri Mwandamizi na Mtalamu Mshauri wa masuala ya Uhasibu, Usimamizi wa Fedha na Menejimenti wa Chuo Kikuu cha Uongozi Mashariki na Kusini mwa Afrika (ESAMI) Felix Kariuki Kamau akitoa somo kwenye kongamano hilo ambapo alizungumzia kwa kina masuala ya usimamizi wa Fedha na kuboresha tafiti kabla ya kuwekeza katika maeneo mbalimbali, lakini pia michakato muhimu ya kuzingatia ili kuweza kuuza nyumba nyingi zaidi.
 Meneja wa NHC mkoa wa Mtwara, Joseph John akielezea mikakati ya uendelezaji ujenzi katika mkoa wake mafanikio pamoja na changamoto.
Meneja wa NHC mkoa wa Kinondoni, Benith Masika akielezea mikakati ya uendelezaji ujenzi katika mikoa minne ya Shirika mafanikio pamoja na changamoto.
Meneja wa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Tuntufye Mwambusi akizungumza kwenye kongamano hilo.
 Washiriki wakifuatilia kwa makini kongamano hilo linalofanyika katika hoteli ya Naura Springs, linafanyika kwa wiki nzima.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi NHC TAMICO, Danny Nkya akifuatilia kwa makini kongamano hilo.

 Mkurugenzi mkuu wa NHC, Nehemia Kyando Mchechu alipata nafasi ya kujadiliana na  mameneja na watumishi wa shirika la Nyumba la Taifa waliohudhuria kongamamo la Arusha kuhusiana na mafanikio na changamoto zinazowakabili  .
 Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa Felix Maagi na Haikamen Mlekio wakifuatilia mada na mijadala inayoendelea katika kongamano hilo 
 Washiriki wakifuatilia kwa makini kongamano hilo linalofanyika katika hoteli ya Naura Springs, linafanyika kwa wiki nzima.
  Mkurugenzi mkuu wa NHC, Nehemia Kyando Mchechu alipata nafasi ya kujadiliana na  mameneja na watumishi wa shirika la Nyumba la Taifa waliohudhuria kongamamo la Arusha kuhusiana na mafanikio na changamoto zinazowakabili  .
  Mkurugenzi mkuu wa NHC, Nehemia Kyando Mchechu alipata nafasi ya kujadiliana na  mameneja na watumishi wa shirika la Nyumba la Taifa waliohudhuria kongamano la Arusha kuhusiana na mafanikio na changamoto zinazowakabili  .
  Mkurugenzi mkuu wa NHC, Nehemia Kyando Mchechu alipata nafasi ya kujadiliana na  mameneja na watumishi wa shirika la Nyumba la Taifa waliohudhuria kongamano la Arusha kuhusiana na mafanikio na changamoto zinazowakabili  .
Mkurugenzi mkuu wa NHC, Nehemia Kyando Mchechu alipata nafasi ya kujadiliana na  mameneja na watumishi wa shirika la Nyumba la Taifa waliohudhuria kongamano la Arusha kuhusiana na mafanikio na changamoto zinazowakabili  .
Wakurugenzi wa NHC, DAvid Shambwe, Issack Peter na Raymond Mndolwa wakijadiliana jambo nje ya kongamano hilo 

  Mkurugenzi mkuu wa NHC, Nehemia Kyando Mchechu alipata nafasi ya kujadiliana na  mameneja na watumishi wa shirika la Nyumba la Taifa waliohudhuria kongamano la Arusha kuhusiana na mafanikio na changamoto zinazowakabili .
 Mhadhiri wa  Chuo Kikuu cha Uongozi Mashariki na Kusini mwa Afrika (ESAMI), Jackson Kilimba akitoa mada kuhusiana na majadiliano, michakato yake na namna ya kuitekeleza.
Washiriki wakifuatilia kwa makini kongamano hilo linalofanyika katika hoteli ya Naura Springs, linafanyika kwa wiki nzima.

 Washiriki wakifuatilia kwa makini kongamano hilo linalofanyika katika hoteli ya Naura Springs, linafanyika kwa wiki nzima.


 Washiriki wakifuatilia kwa makini kongamano hilo linalofanyika katika hoteli ya Naura Springs, linafanyika kwa wiki nzima.
Washiriki wakifuatilia kwa makini kongamano hilo linalofanyika katika hoteli ya Naura Springs, linafanyika kwa wiki nzima.

No comments: