Monday, April 7, 2014

Hafla ya kuaga mwili wa marehemu Meja Jenerali Kelvin Msemwa

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza mamia ya waombolezaji na viongozi mbalimbali wa Serikali na JWTZ katika hafla  ya kuaga mwili wa aliyekuwa Kamishna wa Jeshi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Marehemu Meja Jenerali Kelvin Msemwa iliyofanyika uwanja wa makao makuu ya Jeshi, Upanga, Dar es salaam, April 6, 2014. Marehemu alifariki dunia April 3, 2014 katika hospitali ya Jeshi ya Lugalo. Mwili wake unasafirishwa kuelekea Songea kwa mazishi April 7, 2014
 Majenerali Wastaafu na walio kazini
 Majenerali wastaafu na walio kazini
 Jukwaa kuu
 Rais Kikwete akiwa jukwaa kuu na viongozi wengine mbalimbali
 Mama Salma Kikwete akiwa jukwaa kuu
 Sehemu ya jukwaa kuu
 Viongozi waliopata kuwa Mawaziri wa Ulinzi Profesa Philemon Sarungi na Dkt Emmanuel Nchimbi na viongozi wengie
 Viongozi wa sasa na waliostaafu
 Waombolezaji
 Kikosi kazi cha maandalizi na utekelezaji
 Mwili ukiwasili 
 Gari la mzinga likiwa limebeba mwili wa marehemu
 Maafisa waandamizi wasindikizaji wa mwili wa marehemu
 Mwili ukitelemshwa kutoka katika gari la mzinga
 Hema kuu inasimama kama ishara ya heshima kwa marehemu
 Jemedari Mkuu na viongozi wengine
 Amiri Jeshi Mkuu akielekea kutoa heshima zake za mwisho
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima zao za mwisho
 Wakitoa pole kwa wafiwa
 Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akielekea kutoa heshima zake za mwisho
 Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akitoa heshima zake za mwisho
 Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akimfariji mjane wa marehemu
 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi akielekea kutoa heshima zake za mwisho
  Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi akitoa  heshima zake za mwisho
  Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi akimpa pole mjane wea marehemu baada ya kutoa heshima zake za mwisho
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akielekea kutoa heshima zake za mwisho
  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akitoa heshima zake za mwisho
  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akimpa pole mjane wa marehemu
 Wakuu wa mikoa ya Dar es salaam (kulia Mhe Saidi Mecky Sadid) na Mtwara  (Kanali Joseph Simbakalila)  wakitoa heshima zao za mwisho
  Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Ndugu Job Masima akitoa heshima zake za mwisho
 Heshima za mwisho
 Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Albert Ndomba akitoa heshima zake za mwisho

 Profesa Philemon Sarungi na Dkt Emmanuel Nchimbi wakitoa heshima zao za mwisho
 Wafiwa wakipewa mikono ya pole
 Mikono ya pole kwa wafiwa
 Wanadhimu Wakuu Wastaafu wa JWTZ Luteni Jenerali Sayore na Luteni Jenerali Iddi Gahhu wakitoa heshima zao

 Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Robert Mboma akitoa heshima
 Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Robert Mboma akitoa pole kwa mjane wa marehemu
 Heshima ya mwisho kwa marehemu
 Saluti ya mwisho kwa marehemu
 Majenerali walio kazini na wastaafu wakielekea kutoa heshima zao za mwisho
 Heshima za mwisho kwa marehemu
 Pole kwa wafiwa
 Maafisa waandamizi wakimuaga mwenzao
 Wakitoa pole kwa wafiwa
 Poleni sana....
 Foleni ya kwenda kutoa heshima za mwisho kwa marehemu
 Maafisa waandamizi wakielekea kutoa heshima 
 Kuelekea kutoa heshima za mwisho






 Waambata wa kijeshi katika balozi mbalimbali walikuwepo
 Heshima za mwisho toka kwa waambata wa kijeshi 










 Mjane wa marehemu akipelekwa kuaga mwili wa marehemu




 Jeneza likifungwa baada ya heshima za mwisho
 Mwili ukiandaliwa baada ya heshima za mwisho kutolewa
 Mwili ukiondolewa baada ya heshima za mwisho
 Mwili wa marehemu ukiondolewa eneo la tukio
 Amiri Jeshi Mkuu akisindikizwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange

 Jeneza lenye mwili wa marehemu likiagwa na maafisa waandamizi wa JWTZ

1 comment:

Anonymous said...

Poleni wakuu kwa kuondokewa na kipenzi chenu