Friday, September 30, 2011

Mkutano wa mawasiliano wa masoko Tanzania TMCC hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam leo


DSC_0252.JPG
 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni na Michezo Leonard Thadei  wa sita kutoka kushoto waliosimama mbele akiwa  katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano wa  Tanzania Marketing Communication  Confrence (TMCC)  uliofanyika jijini Dar es Salaam, uliowshirikisha wataalamu wa masoko toka makampuni mbalimbali  hapa nchini.


DSC_0241.JPG
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Leonard Thadei akihutubia  katika mkutano wa  Tanzania Marketing Communication Confrence (TMCC) uliowshirikisha wataalamu wa masoko toka makampuni mbalimbali hapa nchini. Mkutano huo uliodhaminiwa na Kampuni ya Vodacom ulikuwa na lengo la kuwakutanisha wataalamu hao ili waweze kubadilishana utalaamu wao.


DSC_0229.JPG
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa wa Mawasiliano wa masoko Tanzania Marketing (TMCC) uliowahusisha wataalaamu wa masoko kutoka makampuni mbalimbali wakifuatilia mada katika mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam.mkutano huo ulidhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania.


DSC_0215.JPG
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa wa Mawasiliano wa masoko Tanzania Marketing Communication  Confrence (TMCC) uliowahusisha wataalaamu wa masoko na mawasiliano  uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulp  jijini Dar es Salaam,  wakifuatilia mada iliyokuwa ikitolewa na Mshauri wa maswala ya masoko wa kampuni ya Constomer   Passion Point Ltd  Ikechuku Kalu.


DSC_0296.JPG
Meneja huduma na Bidhaa wa kampuni ya Vodacom Tanzania Elihuruma Ngowi, akiongea na wandishi wa habari kuhusiana na mkutano wa  Tanzania Marketing Communication  Confrence (TMCC )  katika  Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam, Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania  ni miongoni mwa makampuni yaliyodhamini mkutano huo wa siku mbili. 


DSC_0216.JPG
Mwenyekiti  wa Marketing Society of Tanzania  Rosemary Mwakitwange akifafanua jambo katika wa  mkutano wa wa Mawasiliano wa masoko  (Tanzania Marketing Communication  Confrence (TMCC) uliowashirikisha wataalam wa  masoko wa makampuni mbalimbali ikiwa na lengo la kuwakutanisha pamoja ili kubadilishana uzoefu  wao kushoto ni Mshauri wa maswala ya masoko wa kampuni ya Constomer   Passion Point Ltd  Ikechuku Kalu 


DSC_0197.JPG
Mshauri wa maswala ya Masoko wa kampuni ya Constomer   Passion Point Ltd  Ikechuku Kalu akitoa mafunzo katika mkutano wa Mawasiliano wa masoko (Tanzania Marketing Communication  Conference -TMCC) uliowashirikisha wataalamu  wa  masoko na mawasialiano wa makampuni mablimbali ikiwa na lengo la kubadilishana uzoefu  mkutano huo wa siku mbili ulidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania.


DSC_0287.JPG
Meneja huduma na Bidhaa wa kampuni ya Vodacom Tanzania Elihuruma Ngowi, akiongea na wandishi wa habari kuhusiana na mkutano wa  Tanzania Marketing Communication  Confrence (TMCC )  katika  Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam, Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania  ni miongoni mwa makampuni yaliyodhamini mkutano huo wa siku mbili. 

Tanzania Marketing Communication Conference - TMCC 2011 Cocktail last night at Golden Tulip hotel in Dar es salaam

Participants from Tanzania Breweries Ltd who are sponsoring the event through Ndovu Special Malt at the Cocktail held last night at the Golden Hotel in Dar es salaam
some of the participants registering themselves for the cocktail event
Registration

Business cards swapping
The organisers Mr Rodgers Mbaga (Right) and Mr Ike Chukwu (left) with some of the participants
Mr Rodgers Mbaga with Ankal at the cocktail
Mr Rodgers Mbaga (right) with some of the participants
Some of the participants
Mr Mbaga (centre) with some participants
Rashid Tenga (left) with some of the participants
Mr Rodgers Mbaga (centre) with Mr Ladwa (right) and Rashid Tenga
Mr Ike Chukwu and Ms Rosemary Mwakitwange field questions from reporters
wadau at the cocktail
Ms Rosemary Mwakitwange elaborates issus to the media as Mr Rodgers Mbaga and Mr Ike Chukwu stand bay
Mr Ladwa (right) with some his guests at the Cocktail
Ms Rosemary Mwakitwange expounds issues with some reporters
Ms Pamela from Ndovu commits Ndovu's sponsorship
The big bosses with some of the participants
Mr Felix Mushi from Tanzania Standard Newspapers gets the fraternizing ball rolling
 The venue
 The cocktail tent
 Marketing gurus from all fields gather for a sip
 Mr Mbaga with some of his guests
Mr Ike Chukwu sets the evening off

Saturday, September 24, 2011

ufunguzi wa mkutano wa DICOTA 2011 wafana jijini Washington DC

 Sehemu ya mamia ya washiriki katika mkutano wa DICOTA 2011 wakiwa ukumbuni Dulle, Virginia, Washington DC wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunfuzi
 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na washiriki wa DICOTA 2011
 Kila mtu alikuwa anataka mkono wa Rais Kikwete
 Hongera kwa kufanikisha mkutano
 Watanzania  Marekani wakifurahi na Rais wao
 Tunashukuru kwa kutia baraka mkutano wetu...
 Asante sana Mheshimiwa
 Hii ni siku ya furaha kwetu, Kulia ni Mbunge wa Viti Maalumu (CHADEMA) Mh Leticia Nyerere
 Great speech, anasema Mwenyekiti wa kampuni ya Symbion Power Africa Bw Joseph Wilson anasema
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh Bernard Membe akiongea
 Wanahabari walikuwepo kwa wingi
 Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt Ramadhani Dau akisoma Muhtasari wa kuzinduliwa mpango maalum wa Welfare Scheme for Tanzanians in Diaspora (WESTADI) wakati wa ufunguzi wa DICOTA 2011.
 Rais Kikwete akizundua Welfare Scheme for Tanzanians in Diaspora (WESTADI)

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Nyumba Poa Bw Peter Masika akitambulishwa
 Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Voice of America Dkt Mwamoyo Hamza (kulia) akiwa na afisa Ubalozi Washington DC Bw Suleiman Saleh mkutanoni hapo
 Watoto wa Kitanzania wakipozi na Rais Kikwete na meza kuu baada ya kuimbisha wimbo wa Taifa
 Rais Kikwete na Balozi Mwanaidi Maajar wakiwapongeza watoto kwa kuimba vizuri
 Sehemu ya washiriki na wafadhili wa DICOTA 2011
 Washiriki wa DICOTA 2011
 Washiriki wa DICOTA 2011
 Rais Kikwete akimsalimia Bi Zaria Kawawa wa Benki Kuu
 Baadhi ya washiriki
 Baadhi ya wanakamati wa maandalizi ya mkutano huo
 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na afisa toka MCC
 Rais Kikwete akiwa na Mmoja wa marafiki wa maendeleo
 Rais Kikwete akimpa mkono rafiki wa maendeleo
 Furaha ya bahati adhimu